Tambua muda wa kukaa kimya

Yani hapo wawili. Nikae kimya au nilie. Ila siwezi kukaa kimya nitakupa linalokustahili tu
 
hapo zinategemeana ukiwa na hasira ukitaka kuonngea bas ongea ktu ambacho bdae hutojutia kukiongea
 
Sawa

Are u a good samaritan yule wa kwenye bible?

Sijui kama ntakua kama huyo Msamaria wa kwenye Biblia ila siku zote haya ndio maombi yangu..

“Uniondolee ubatili na uongo, Usinipe umasikini wala utajiri, Unilishe chakula kilicho kadri yangu, Nisije nikashiba, nikakukana, Nikasema Bwana ni nani? wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Bwana Mungu wangu.”

Mit. 30:8-9
 
Maneno mazuri. Yafanyie kazi hakika utabarikiwa
 
Yani hapo wawili. Nikae kimya au nilie. Ila siwezi kukaa kimya nitakupa linalokustahili tu

Hapo tu ndio unaponiangusha, ukae kimya au ulie, ila hauwezi kukaa kimya, inamaana hapo nilazima uteme nyongo. Ila unaweza kujifunza kumpa mtu linalomstahili kistaarab, wachache sana wanaweza kufanya hilo wakiwa na hasira. Tunaendelea kujifunza lakini, sio jambo rahisi. Hii mada imenikumbusha mambo mengi sana ya muhimu
 
Mi nalitemaga kistaarabu ila litakuchoma. Kwanza mara nyingi nagombana na bf wangu sasa yeye ndo nampaga maneno hadi akikaa ananiambia ila beb ulinipa maneno makali hadi nikajishtukia.
 
Mi nalitemaga kistaarabu ila litakuchoma. Kwanza mara nyingi nagombana na bf wangu sasa yeye ndo nampaga maneno hadi akikaa ananiambia ila beb ulinipa maneno makali hadi nikajishtukia.

Kama unatema nyongo kistaarab sio mbaya, maneno yanaumiza na kuchoma sana. Kuna mambo unaweza kuambiwa kila ukiyakumbuka unachukia kila kitu. Usimchokoze sana mgombea mwenza, mpe maneno kistaarabu!
 
Kama unatema nyongo kistaarab sio mbaya, maneno yanaumiza na kuchoma sana. Kuna mambo unaweza kuambiwa kila ukiyakumbuka unachukia kila kitu. Usimchokoze sana mgombea mwenza, mpe maneno kistaarabu!
Yeye ndo anakua ananichoza. Nikiongea anasema sina dogo.
 
Yawezekana huu ni utanzania zaidi. Ndo maana sehemu nyingi tunapigwa eg madini,escrow nk. Woga,woga,woga. Mfano kuna mtu alisema, Tanzania itaanza kuikopesha Ulaya hivi karibuni! So, kwa vile hujui ni kweli au uongo,basi tuwe kimya?
 
Leo nilikuwa sehemu... nimekaa nasubir simu yangu ipate moto ili maisha yaendelee nilikaa na mapolisi wanaongea upuuzi kuhusu uchaguzi wa kinondoni ningekaa kimyaa.hapana niliwapa elimu ya iraiya. Nipo na ndugu mmoja ofisini anaongea ujinga nimwache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…