Nimepata taarifa kuwa leo kuna tamasha kubwa sana la kampeni ya Zinduka kutokomeza Malaria.Na mkul uJMK atakuwa ndani ya nyumba,pa moja na burudani mbalimbali.Kweli kwani kwa sasa malaria ni ugonjwa hatari kulingana na Ukimwi,TB.
Hima wananchi hima tujitokeza kuzindua kampeni hii.
Hima wananchi hima tujitokeza kuzindua kampeni hii.