Tamaduni zetu tunazizingatia.

Tamaduni zetu tunazizingatia.

saudari

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
2,655
Reaction score
2,783
warembo.jpg
No comment.
 
Wohhooo! Nilishawahi kushiriki hili. Kuna caribbean festival toronto kila mwaka inaitwa caribanna. Si kubwa kama ya Brazil. Hata wanaume wanashiriki. Unachagua style ya costume. Bonge la sherehe.
 
Hizo ni tamaduni zao,kila jamii in tamaduni zao.
 
Tofauti ya tamaduni zao na za kwetu ni kwamba zetu tunaonyesha usiku....for more information visit Kona bar, Meeda, Buguruni, Maisha Club na mengine mnayajua msibishe.
 
Back
Top Bottom