green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Kundi la kigaidi lililokamata Nchi yote Afghanistan leo wameonekana Wakizunguka angani na Black Hawk Helicopter zilizoachwa na Jeshi la Marekani kwa zamu baada kujifunza kuzirusha kupitia You tube na GTA 5. Hizi baadhi ya comment za Wamarekani