Talent-Vipaji

Talent-Vipaji

Elly Merdy

New Member
Joined
Nov 4, 2018
Posts
2
Reaction score
3
Mimi nahis, tukitaka maendeleo ya nchi kutoka nchin mwetu bila kutegemea misaada ya nje, inatubidi tupange mikakati iliyo bora, watoto wadogo huwa na vipaji vikubwa lakin mfumo wa elimu uliopo, unasababisha vipaji hivyo kudunishwa,.
Watoto inabidi wapewe elimu kulingana na vipaji vyao, inabidi serikali isaporti elimu ya vipaji maalumu, ili kuendeleza taifa letu
 
Sio kwa Taifa hili

Labda ulaya
 
Ni ushauri, lakn kama tunahitaj maendeleo, ni vzr tukafanya hivyo
 
Back
Top Bottom