mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,971
CCM ina wachama milioni 6.
Mwaka huu watanzania waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 23.
Tangu uhuru wastani wa wapiga kura niasilimia 75,japo mwaka 2010 waliopiga kura ni asilimia 42.6.
Mwaka huu huenda wapiga kurawakafikia asilimia 80 kutokana na mwamko uliopo ina maana watu milioni 18.4 watapiga kura kulinganisaha na wapiga kura milioni 8.6 wa mwaka 2010
kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 nusu ya watanzania ni vijana kuanzia miaka 15-35
Kama watu milioni 18 watapiga kura na CCM Kuzoa kura zote milioni 6 za wanachama wake na kuambulia kura milioni 2 za wasiowanachama maana yake itapata kura milioni 8 kura zilizobaki milioni kumi zikienda upinzani CCM itakuwa katika wakati mgumu sana.
vijana wengi ambao ndio wamejiandikisha kupiga kura na ambao kwa idadindio wengi wanaonekana ndio wapenda mabadiliko kuliko watu wazima wengi wao hawajawahi kupiga kura wanataka kujua kule kwenye chumba cha kupigia kura kunafananaje.
Takwimu hizi ndio zinafanya taasisi nyingi za utafiti kama Redet na synovate kuamua kukaa kimya kuogopa lawama kuwa zilisaidia upinzani ila hali ni mbaya kwa CCM kitakwimu.
Mwaka huu watanzania waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 23.
Tangu uhuru wastani wa wapiga kura niasilimia 75,japo mwaka 2010 waliopiga kura ni asilimia 42.6.
Mwaka huu huenda wapiga kurawakafikia asilimia 80 kutokana na mwamko uliopo ina maana watu milioni 18.4 watapiga kura kulinganisaha na wapiga kura milioni 8.6 wa mwaka 2010
kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 nusu ya watanzania ni vijana kuanzia miaka 15-35
Kama watu milioni 18 watapiga kura na CCM Kuzoa kura zote milioni 6 za wanachama wake na kuambulia kura milioni 2 za wasiowanachama maana yake itapata kura milioni 8 kura zilizobaki milioni kumi zikienda upinzani CCM itakuwa katika wakati mgumu sana.
vijana wengi ambao ndio wamejiandikisha kupiga kura na ambao kwa idadindio wengi wanaonekana ndio wapenda mabadiliko kuliko watu wazima wengi wao hawajawahi kupiga kura wanataka kujua kule kwenye chumba cha kupigia kura kunafananaje.
Takwimu hizi ndio zinafanya taasisi nyingi za utafiti kama Redet na synovate kuamua kukaa kimya kuogopa lawama kuwa zilisaidia upinzani ila hali ni mbaya kwa CCM kitakwimu.