Ndiomaana wakakandwa mbili bila?Walikuwa na mechi kubwa dhidi ya Rivers ile hawakuipa kipaumbele
Ndiomaana wakakandwa mbili bila?Walikuwa na mechi kubwa dhidi ya Rivers ile hawakuipa kipaumbele
Yah! Waliowakanda wakachukua ubingwaaNdiomaana wakakandwa mbili bila?



Ila wamekandwaYah! Waliowakanda wakachukua ubingwaa
![]()
Inonga ni mchezaji bora wa muda wote...huyo Bacca mpeni muda


ila "muda wote" inatumika vibaya sanaNawakachukua ubingwaIla wamekandwa
Mbona mshindi wa cafcc anapamba na mshindi wa caf champions league kupata mshindi wa super cup ?Shirikisho la waliofeli vs caf klabu bingwa timu zenye ushawishi Afrika na duniani
Nguvu moja
Wanomiliki akili ni hao... Tangu Bacca aanze kucheza kwenye kikosi cha Yanga kwenye michuano ya CAFCC, Yanga hawajaruhusu bao !!
Yanga 2 - 0 Bamako
Yanga 2 - 0 Monastir
TP Mazembe 0 - 1 Yanga
Rivers 0 - 2 Yanga
Yanga 0 - 0 Rivers
Yanga 2 - 0 Marumo
06 - Games
06 - Cleansheets
» Yanga imekuwa klabu ya kwanza kwenye mashindano ya CAF 2022/23 kutoruhusu bao kwenye michezo (6) mfululizo
NB ; Kuanzia group stage mpaka sasa Yanga wameruhusu mabao (4) tu, na mabao yote walifungwa Bacca akiwa benchi !!!
US Monastir 2 - 0 Yanga
Yanga 3 - 1 TP Mazembe
Bamako 1 - 1 Yanga
NB ; Bonge moja la defender
#timuyawananchi
#yangayangudaima
#pageniyakomwananchi
