Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,787
Habari za jioni wanafamilia.
Ni vizuri tukapata takwimu ya matukio yanayoendelea kutokea duniani papo kwa papo
Mpaka sasa idadi ya watu duniani ni zaidi ya bilioni 7.5,zaidi ya watu bilioni 3.68 wametumia internet katika matumizi mbalimbali kwa siku ya leo na idadi inaongezeka,
Sigara zilizovutwa mpaka sasa ni zaidi ya bilioni 12.126,kwa mahesabu ni kama kila mtu kavuta sigara leo, waliozaliwa ni zaidi ya watu laki 3 na waliokufa ni zaidi ya watu laki 1.2 na waliokufa kwa malaria ni zaidi ya watu elfu 2, waliokufa kwa njaa ni zaidi ya watu elfu 24, na mimba zilizotolewa (abortion) ni zaidi ya mil 23 kwa mwaka huu.
Kwa takwimu zaidi tembelea
Worldometers - real time world statistics
Ni vizuri tukapata takwimu ya matukio yanayoendelea kutokea duniani papo kwa papo
Mpaka sasa idadi ya watu duniani ni zaidi ya bilioni 7.5,zaidi ya watu bilioni 3.68 wametumia internet katika matumizi mbalimbali kwa siku ya leo na idadi inaongezeka,
Sigara zilizovutwa mpaka sasa ni zaidi ya bilioni 12.126,kwa mahesabu ni kama kila mtu kavuta sigara leo, waliozaliwa ni zaidi ya watu laki 3 na waliokufa ni zaidi ya watu laki 1.2 na waliokufa kwa malaria ni zaidi ya watu elfu 2, waliokufa kwa njaa ni zaidi ya watu elfu 24, na mimba zilizotolewa (abortion) ni zaidi ya mil 23 kwa mwaka huu.
Kwa takwimu zaidi tembelea
Worldometers - real time world statistics