TAKUKURU wasaidieni WanaCHADEMA na Watanzania kujua Uongo wa Mbowe

July 2017 niliandika waraka humu, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya magazeti kuwa Mbowe anakidai Chama Cha CHADEMA deni hewa la Tsh bilioni 7 na ameanza kujilipa. Katika waraka ule niliamua kuwa Mwanachama mfu wa CHADEMA hadi Sept mwaka huu nilipojiunga na CCM.

Baada ya andiko lile miezi michache baadae katika ripoti ya CAG iliyowasilishwa Bungeni ilionekana kuna malipo yasiyo halali ya Tsh bilioni 2 katika hesabu za CHADEMA zilizokaguliwa hadi wakati ripoti ile inatolewa.Hakuna aliyewajibika hadi sasa. Naamini ripoti ijayo itabaini malipo mengine kama nyaraka zote zitakazowasilishwa zitachunhuzwa kwa kina kuepuka kugushi.

Rais John Magufuli mwezi huu amemteua Mkurugenzi Mkuu mpya wa TAKUKURU na miongoni mwa maagizo ni kwa taasis hiyo kuchunguza NGOs na Taasis nyingine za Umma. Nampongeza sana Mh Rais kwa agizo hili. Japo hakutaja Vyama vya siasa lakini naamini agizo lile linahusisha taasis zote za umma hususan vyama vya siasa.

Unawezaje kuacha taasis ambayo mpaka leo imeshapokea zaidi ya bilioni 10 fedha za umma na nyingine nyingi toka nchi rafiki? Haitakuwa haki kwa watanzani.

Sisi wapiga vita ufisadi tumeshapiga mluzi hadharani kuashiria ufisadi huu mkubwa. Tunaamini hakuna aliye juu ya sheria. TAKUKURU chukueni hatua tutatoa ushirikiano.

Sasa Mbowe na vijana wake wameanza kuumbuka kwa kukosa fedha za kampeni, mishahara ya watumishi na fedha za uendeshaji Chama, wanataka kuhamisha agenda ionekane Tume ndio kikwazo na propaganda nyingine kibao. Serikali lazima iwachunguze viongozi wa CHADEMA seriously ili kujenga nidhamu katika uendeshaji siasa na vyama nchini.

Vyama vina jasho, damu, muda, na kila aina ya kujitolea kwa watanzania mbalimbali. Ni dhambi kubwa kikundi kidogo cha watu kujinufaisha kwa sacrifice hizo bila kuwajibishwa.

TAKUKURU mkichunguza mtakomesha uzushi wote na kuwafungua macho watanzania.

Hapa Kazi Tu.

Benson Mramba
Toa avatar yako.kwanza
 
Unafikiria kwa kutumia 'ile kitu' ya masaburi nakuhurumia, tumia kichwa ili uweze kuona upuuzi ulioandika. Takukuru ipo chuni ya nani? nec? mapolisi? kweli we ngedere.
Sio ngedere tuu bali huyo ni zaidi ya boza. Kuna mahali nilisema zipo tabia ukiziona kabila Fulani lazima ujue kuna kasoro. Ukimkuta Mzaramo anaimba taarabu huwezi mshangaa, lakini jee ukimkuta Mjaluo anatwanga taarabu huta shangaa?
Vivyo hivyo kuna makabila zile tabia za Mombasa sio ajabu kwao, lakini mchaga (Mramba) kuna kasoro! Huyu Mramba kwa sababu kila akilala na akiamka yeye ni jina la Mbowe tuu kwa nini tusipate wasiwasi na tabia za kimombasa kuashiria anazo huyu toto la kichaga? kang'ang"ania mwanaume mpaka aibu!
 
Hayo ungeyatoa ukiwa ndani ya Chadema yangekuwa ya maana, uko CCM unalalamikia matumizi ya Chadema? hatukuelewi Mkuu, waambie tu waluokuhamisha na kukupa kazi ya kufuatiria Ruzuku ya Chadema wakupe kazi nyingine,

Lipumba alinunuliwa mpaka leo CUF haisomeki, Mbowe kashindikana kaonekana hana njaa mmemwanzishia vita, mara mashmba yake mnaharibu, Blubs, Hotel
 
Uzuri umekuja na majina yako ya ubatizo kabisa, malizia na namba ya simu ili ukumbukwe, wallahi hizi teuzi zinawatia wazimu
 
Naona mipasho pande zote mbili . hawa tunaotegemea wafanye mabadiliko ndo wakiwa suspected wanaanza kusema mbona Na nyie mlikuwa suspect
 
Hayo ungeyatoa ukiwa ndani ya Chadema yangekuwa ya maana, uko CCM unalalamikia matumizi ya Chadema? hatukuelewi Mkuu, waambie tu waluokuhamisha na kukupa kazi ya kufuatiria Ruzuku ya Chadema wakupe kazi nyingine,

Lipumba alinunuliwa mpaka leo CUF haisomeki, Mbowe kashindikana kaonekana hana njaa mmemwanzishia vita, mara mashmba yake mnaharibu, Blubs, Hotel
Kalagabaho! Mshabiki
 
July 2017 niliandika waraka humu, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya magazeti kuwa Mbowe anakidai Chama Cha CHADEMA deni hewa la Tsh bilioni 7 na ameanza kujilipa. Katika waraka ule niliamua kuwa Mwanachama mfu wa CHADEMA hadi Sept mwaka huu nilipojiunga na CCM.

Baada ya andiko lile miezi michache baadae katika ripoti ya CAG iliyowasilishwa Bungeni ilionekana kuna malipo yasiyo halali ya Tsh bilioni 2 katika hesabu za CHADEMA zilizokaguliwa hadi wakati ripoti ile inatolewa.Hakuna aliyewajibika hadi sasa. Naamini ripoti ijayo itabaini malipo mengine kama nyaraka zote zitakazowasilishwa zitachunhuzwa kwa kina kuepuka kugushi.

Rais John Magufuli mwezi huu amemteua Mkurugenzi Mkuu mpya wa TAKUKURU na miongoni mwa maagizo ni kwa taasis hiyo kuchunguza NGOs na Taasis nyingine za Umma. Nampongeza sana Mh Rais kwa agizo hili. Japo hakutaja Vyama vya siasa lakini naamini agizo lile linahusisha taasis zote za umma hususan vyama vya siasa.

Unawezaje kuacha taasis ambayo mpaka leo imeshapokea zaidi ya bilioni 10 fedha za umma na nyingine nyingi toka nchi rafiki? Haitakuwa haki kwa watanzani.

Sisi wapiga vita ufisadi tumeshapiga mluzi hadharani kuashiria ufisadi huu mkubwa. Tunaamini hakuna aliye juu ya sheria. TAKUKURU chukueni hatua tutatoa ushirikiano.

Sasa Mbowe na vijana wake wameanza kuumbuka kwa kukosa fedha za kampeni, mishahara ya watumishi na fedha za uendeshaji Chama, wanataka kuhamisha agenda ionekane Tume ndio kikwazo na propaganda nyingine kibao. Serikali lazima iwachunguze viongozi wa CHADEMA seriously ili kujenga nidhamu katika uendeshaji siasa na vyama nchini.

Vyama vina jasho, damu, muda, na kila aina ya kujitolea kwa watanzania mbalimbali. Ni dhambi kubwa kikundi kidogo cha watu kujinufaisha kwa sacrifice hizo bila kuwajibishwa.

TAKUKURU mkichunguza mtakomesha uzushi wote na kuwafungua macho watanzania.

Hapa Kazi Tu.

Benson Mramba
WHERE DO YOU BELONG , BETWEEN THE GROUP OF IMBECILE AND MORON , TAKE YOUR PICK
 
Ombi : Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwaepusha wazazi kuzaa watoto wenye mtindio wa ubongo , Haiwezekani kuwa na mtoto anayefanya jambo moja tu kwa maisha yake yote ni lazima atakuwa mwehu tu .
Mimba mingine isitungwe tu,withdraw method ingehusishwa aisee.mimba ya namna hii ndio ile mama mjamzito anashinda hospitali kila siku kwa maumivu, mtoto anaona anachelewa kuzaliwa awahi duniani kuwa bafoon wa kujitakia kwa ajili ya tumbo lake.
 
July 2017 niliandika waraka humu, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya magazeti kuwa Mbowe anakidai Chama Cha CHADEMA deni hewa la Tsh bilioni 7 na ameanza kujilipa. Katika waraka ule niliamua kuwa Mwanachama mfu wa CHADEMA hadi Sept mwaka huu nilipojiunga na CCM.

Baada ya andiko lile miezi michache baadae katika ripoti ya CAG iliyowasilishwa Bungeni ilionekana kuna malipo yasiyo halali ya Tsh bilioni 2 katika hesabu za CHADEMA zilizokaguliwa hadi wakati ripoti ile inatolewa.Hakuna aliyewajibika hadi sasa. Naamini ripoti ijayo itabaini malipo mengine kama nyaraka zote zitakazowasilishwa zitachunhuzwa kwa kina kuepuka kugushi.

Rais John Magufuli mwezi huu amemteua Mkurugenzi Mkuu mpya wa TAKUKURU na miongoni mwa maagizo ni kwa taasis hiyo kuchunguza NGOs na Taasis nyingine za Umma. Nampongeza sana Mh Rais kwa agizo hili. Japo hakutaja Vyama vya siasa lakini naamini agizo lile linahusisha taasis zote za umma hususan vyama vya siasa.

Unawezaje kuacha taasis ambayo mpaka leo imeshapokea zaidi ya bilioni 10 fedha za umma na nyingine nyingi toka nchi rafiki? Haitakuwa haki kwa watanzani.

Sisi wapiga vita ufisadi tumeshapiga mluzi hadharani kuashiria ufisadi huu mkubwa. Tunaamini hakuna aliye juu ya sheria. TAKUKURU chukueni hatua tutatoa ushirikiano.

Sasa Mbowe na vijana wake wameanza kuumbuka kwa kukosa fedha za kampeni, mishahara ya watumishi na fedha za uendeshaji Chama, wanataka kuhamisha agenda ionekane Tume ndio kikwazo na propaganda nyingine kibao. Serikali lazima iwachunguze viongozi wa CHADEMA seriously ili kujenga nidhamu katika uendeshaji siasa na vyama nchini.

Vyama vina jasho, damu, muda, na kila aina ya kujitolea kwa watanzania mbalimbali. Ni dhambi kubwa kikundi kidogo cha watu kujinufaisha kwa sacrifice hizo bila kuwajibishwa.

TAKUKURU mkichunguza mtakomesha uzushi wote na kuwafungua macho watanzania.

Hapa Kazi Tu.

Benson Mramba
kwa akili hii unastahili kabisa kuwa mwanaccm
 
Kila siku Mbowe Mbowe mwanaume mzima tabia za kike. Man up kha! Waachie kijiwenongwa drama hizi kila siku nyenyenyenye. Tulia nyumbani upige stori na mwandani wako utaelimika
 
July 2017 niliandika waraka humu, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya magazeti kuwa Mbowe anakidai Chama Cha CHADEMA deni hewa la Tsh bilioni 7 na ameanza kujilipa. Katika waraka ule niliamua kuwa Mwanachama mfu wa CHADEMA hadi Sept mwaka huu nilipojiunga na CCM.

Baada ya andiko lile miezi michache baadae katika ripoti ya CAG iliyowasilishwa Bungeni ilionekana kuna malipo yasiyo halali ya Tsh bilioni 2 katika hesabu za CHADEMA zilizokaguliwa hadi wakati ripoti ile inatolewa.Hakuna aliyewajibika hadi sasa. Naamini ripoti ijayo itabaini malipo mengine kama nyaraka zote zitakazowasilishwa zitachunhuzwa kwa kina kuepuka kugushi.

Rais John Magufuli mwezi huu amemteua Mkurugenzi Mkuu mpya wa TAKUKURU na miongoni mwa maagizo ni kwa taasis hiyo kuchunguza NGOs na Taasis nyingine za Umma. Nampongeza sana Mh Rais kwa agizo hili. Japo hakutaja Vyama vya siasa lakini naamini agizo lile linahusisha taasis zote za umma hususan vyama vya siasa.

Unawezaje kuacha taasis ambayo mpaka leo imeshapokea zaidi ya bilioni 10 fedha za umma na nyingine nyingi toka nchi rafiki? Haitakuwa haki kwa watanzani.

Sisi wapiga vita ufisadi tumeshapiga mluzi hadharani kuashiria ufisadi huu mkubwa. Tunaamini hakuna aliye juu ya sheria. TAKUKURU chukueni hatua tutatoa ushirikiano.

Sasa Mbowe na vijana wake wameanza kuumbuka kwa kukosa fedha za kampeni, mishahara ya watumishi na fedha za uendeshaji Chama, wanataka kuhamisha agenda ionekane Tume ndio kikwazo na propaganda nyingine kibao. Serikali lazima iwachunguze viongozi wa CHADEMA seriously ili kujenga nidhamu katika uendeshaji siasa na vyama nchini.

Vyama vina jasho, damu, muda, na kila aina ya kujitolea kwa watanzania mbalimbali. Ni dhambi kubwa kikundi kidogo cha watu kujinufaisha kwa sacrifice hizo bila kuwajibishwa.

TAKUKURU mkichunguza mtakomesha uzushi wote na kuwafungua macho watanzania.

Hapa Kazi Tu.

Benson Mramba
Uongo ni kuwaacha wanyonge wafe ziwa victoria kwa kukosa taa
 
Umeona billion 10 tu , hizi tunazorudia uchaguzi wenu wa kijinga na jiwe wenu hamzioni? Yaaani sijaona mse....kama huyu mwandishi was hili bandiko.
 
jamaa anamatatizo ya akili haiwezekani kila siku mbowe mbowe utafikiri amekimbia na mkewe
 
Back
Top Bottom