TAKUKURU wamkamate January Makamba

TAKUKURU wamkamate January Makamba

Hakika CCM wanajiona Tanzania ni kama shamba lao na familia zao,inatia uchungu na ndio maana kila kitu hovyo kwa uhuni uhuni tu!!
 
Tukuulize kama umesoma vema ujumbe?

Kosa la RUSHWA wakati wa uchaguzi

Kwani jana ndio mara ya kwanza stars kucheza na timu za nje? Kama FISI WENU walikuwa na nia ya kufadhili watazamaji kwanini wangoje mpakA kipindi cha uchaguzi? Ni rushwa, rushwa, rushwa!

Akamatwe mara moja kwa kosa la RUSHWA!
Nafikiri hapa wa kukamatwa ni pamoja na viongozi wa TFF maana ndiyo waliruhusu hiyo rushwa ya wazi na kuitangaza kwa kuipaka maguta. Ikumbukwe pia walijaribu kutoa hongo hiyo mara baada ya uteuzi wa mgombea wa CCM kwenye michezo ya Kombe la Kagame. Bahati nzuri kuna watu wa hekima waliwashauri vyema.
 
Shika jambia tayari ya kuwajambia October 25 out
 
Naona ujumbe wako umeishia njiani hujasema kwanini ashtakiwe na kosa lipi au unadhani wote waliopo humu ni wapenzi wa mpira au wote walikuwepo taifa jana au walifuatilia matangazo ya mpira wa jana.

Usiache dhamira njiani........

Nyamaza huoni walioelewa wamejibu????
 
Takukuru iliundwa ku-deal na wapumbavu na malofa. Inawezekana hao uliowataja hawamo kwenye hilo kundi. LAKINI mwaka huu ni wetu wa "WAPUMBAVU na MALOFA". Tusifanye makosa.
 
ukistaajabu ya TAKUKURU utayaona ya BASATA na Shilole

huyu demu amefungiwa mwaka mzima kutojihusisha na muziki lakini magamba yanapiga nae show
 
Back
Top Bottom