Tanzania hakuna haki,wenye haki ni waliopo CCM na serikali yake ambao hawazidi hata 5 million,ndio maana tunataka mabadiliko,CCM na mfumo wake ifutwe!
CCM na dola yake inaendesha nchi kwa unafiki na uzandiki,inabagua na kutesa wasio watu wao,ni kinyume cha haki na utawala bora,ndio maana tunaunga mkono mabadiliko!!
January Makamba ameripotiwa na magazeti karibu yote kutoa rushwa jana Uwanja wa Taifa na akatangazwa live uwanjani,TAKUKURU ipo wapi?!
Umma ukampinga hapo hapo uwanjani kwa kuonyesha ishara ya mbadiliko ambayo ni kauli mbiu ya Lowassa na UKAWa,polisi walikuwepo uwanjania na TAKUKURU pia walikuwepo,Makamba kachukuliwa hatua gani?! Makamba alitumwa na nani jana?! Kikwete?! Magufuli au CC ya CCM?! Tunaohudhuria Taifa tunajua kuwa Makamba hajagi uwanjaniNtunawaonaga wakina Ridhiwani,Mwigulu na Mwenzao Zitto,jana Makamba alitumwa na nani?!
January Makamba ameripotiwa kuiba mitihani ya Taifa akiwa Galanos School kule Tanga(ushahidi wa uzi upo humu zaidi ya 3yrs na hajawahi kuja kukana),huo sio uhalifu na mtu alie mwizi wa mitihani leo ni Waziri na tuliambviwa ni msafi kuliko Pinda,Bilal na wengine,kwa maslahi ya nani?!
Lema juzi kakamatwa Arusha kwa kuzidisha kampeni dakika 6 tu na kutupwa lupango,wakina Makamba,Tibaijuka,Chenge,Ngeleja na CCM yao vipi?! Ni miungu mtu?!
Vijana wa UKAWa 19 walikamatwa na kufikishwa mahakamani na kunyimwa dhamana kwa kuvaa fulana zenye maandishi yaliyobeba ujumbe wa Mwalm Nyerere,haki iko wapi?!
CCM imeratibu maandamano weekend iliyopita na kuwalipa vijana mamluki wajifanye CHADEMA katika Mkoa wa Dar,Arusha,Shinyanga na Mwanza huku wa Mwanza wakiandama hadi kwa mkuu wa Wilaya,hawakukamatwa wala kushitakiwa na huku audio clip ya Masaburi ikivuja na kusikika wameaandaa mambo hayo na wanajiaandaa tena,haki iko wapi?! Huu sio uvunjifu wa Amani?!
Albino wanachinjwa na kuuawa kama kuku,hawapewi ulinzi au makazi maalumu ila Slaa anayemfitini Lowassa leo analindwa na usalama wa Taifa na kulipiwa gharama lukuki na serikali-ikiwemo huo ulinzi,cha ajabu akiwa CHADEMA alipigwa mabomu,risasi na virungu huku akivunjwa mkono na hakulindwa na Usalama wa Taifa!!
Kwa nini tuzidi kuichagua tena CCM na kina Makamba wao wanaofunga watu kamba Uwanjani,bungeni,kwenye mitandao,wizi wa simu na vocha huku wakivaa suti na kutuita malofa na wapumbavu??!!
CCM na dola yake inaendesha nchi kwa unafiki na uzandiki,inabagua na kutesa wasio watu wao,ni kinyume cha haki na utawala bora,ndio maana tunaunga mkono mabadiliko!!
January Makamba ameripotiwa na magazeti karibu yote kutoa rushwa jana Uwanja wa Taifa na akatangazwa live uwanjani,TAKUKURU ipo wapi?!
Umma ukampinga hapo hapo uwanjani kwa kuonyesha ishara ya mbadiliko ambayo ni kauli mbiu ya Lowassa na UKAWa,polisi walikuwepo uwanjania na TAKUKURU pia walikuwepo,Makamba kachukuliwa hatua gani?! Makamba alitumwa na nani jana?! Kikwete?! Magufuli au CC ya CCM?! Tunaohudhuria Taifa tunajua kuwa Makamba hajagi uwanjaniNtunawaonaga wakina Ridhiwani,Mwigulu na Mwenzao Zitto,jana Makamba alitumwa na nani?!
January Makamba ameripotiwa kuiba mitihani ya Taifa akiwa Galanos School kule Tanga(ushahidi wa uzi upo humu zaidi ya 3yrs na hajawahi kuja kukana),huo sio uhalifu na mtu alie mwizi wa mitihani leo ni Waziri na tuliambviwa ni msafi kuliko Pinda,Bilal na wengine,kwa maslahi ya nani?!
Lema juzi kakamatwa Arusha kwa kuzidisha kampeni dakika 6 tu na kutupwa lupango,wakina Makamba,Tibaijuka,Chenge,Ngeleja na CCM yao vipi?! Ni miungu mtu?!
Vijana wa UKAWa 19 walikamatwa na kufikishwa mahakamani na kunyimwa dhamana kwa kuvaa fulana zenye maandishi yaliyobeba ujumbe wa Mwalm Nyerere,haki iko wapi?!
CCM imeratibu maandamano weekend iliyopita na kuwalipa vijana mamluki wajifanye CHADEMA katika Mkoa wa Dar,Arusha,Shinyanga na Mwanza huku wa Mwanza wakiandama hadi kwa mkuu wa Wilaya,hawakukamatwa wala kushitakiwa na huku audio clip ya Masaburi ikivuja na kusikika wameaandaa mambo hayo na wanajiaandaa tena,haki iko wapi?! Huu sio uvunjifu wa Amani?!
Albino wanachinjwa na kuuawa kama kuku,hawapewi ulinzi au makazi maalumu ila Slaa anayemfitini Lowassa leo analindwa na usalama wa Taifa na kulipiwa gharama lukuki na serikali-ikiwemo huo ulinzi,cha ajabu akiwa CHADEMA alipigwa mabomu,risasi na virungu huku akivunjwa mkono na hakulindwa na Usalama wa Taifa!!
Kwa nini tuzidi kuichagua tena CCM na kina Makamba wao wanaofunga watu kamba Uwanjani,bungeni,kwenye mitandao,wizi wa simu na vocha huku wakivaa suti na kutuita malofa na wapumbavu??!!