Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Kuna kijarida fulani nimesoma kutoka kwa wenzetu ambao kwao uchafu unabaguliwa kuanzia mapema (at the source)mfano vyuma, mabaki ya chakula, plastiki, n.k kwa kuweka mapipa ya takataka husika karibu kila kona za mitaa na katika sehemu zenye mkusanyiko wa watu wengi. Kisha wahusika wanachukua uchafu huo na kuufanyia kazi.
Je sisi wabongo mambo kama haya tunafanyaje? Tunamipango gani? Serikali yetu inamipango gani?
Habari ndiyo hiyo...
Je sisi wabongo mambo kama haya tunafanyaje? Tunamipango gani? Serikali yetu inamipango gani?
Habari ndiyo hiyo...