Hamisi SEVERINI
Member
- Jun 7, 2021
- 7
- 0
Naomba mawasiano naww kaka unipe consultation zaid maana nina project hiyo ambayo ipo mbioniLipo mbeya nashukuru Mungu mambo yanakwenda vizuri,nawashukuru watu wa Mali asili kwa ushirikiano na ushauri wanaonipatia