Tajiri Mkubwa Kuliko Wote Zanzibar

Tajiri Mkubwa Kuliko Wote Zanzibar

Tajiri mkubwa kuliko wote Zanzibar Ni Noushad Mohamed akifuatiwa na Raza Mohamed Raza

Hivi bakhresa kazaliwa kirando tabora nini? Bakhresa ni mzenji na ndio tajiri namba moja huko na jiji la dar. Overall tajiri wa zenji na tanganyika ni mzee wa igunga rostam
 
wanafanya biashara gani? wanalipa kodi kiasi gani? nchi ya watu milioni 1 wanafanya biashara gani hadi wawe matajiri??

Mkuu Zanzibar tukiwapa uhuru wao watakuwa "dubai ndogo" Kuna jamaa wanapesa,yamewekeza mno ughaibuni.
 
Back
Top Bottom