MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,480
Sijajua kikwao ina maana gani, kikwetu hakika ni neno lenye ukakasi.Hii maana yake umeamkaje mushi??
Hahaa hilo jina duh !!!
Hahaa kumalija nini !!?
@Jingalao
faiza fox
Cc nleterewa nganengoKwa ufupi kuna baadhi ya majina nikisoma huwa nacheka sana nikiwa natafakari huyo mtu mwenye hilo jina alikua anawaza nini wakati wa kujisajili humu JF. Majina ya kufurahisha ni kama yafuatayo, kwa uchache:
1. Mchecheto;
2. Miss Natafuta;
3. Kipara kipya;
4. Mkwepa kodi
5......................
Basi burdani.