KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wana bodi Najua wote mnatumia huduma zakibenki hapa nchini,hivyo tutoe frusa hapa kutoa kero/maoni yako,kero unayokutana nayo katika benki husika, hili wahusika waweze kutambua katika maeneo yao husika yana kasoro ipi hili waweze kuzirekebisha.
Taja Benki na Kasoro.zao.
Asante.
Taja Benki na Kasoro.zao.
Asante.