Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

toroka uje mjini

JF-Expert Member
Mar 29, 2017
1,584
2,107
Wanajamvi natumai nyote ni wazima wa Afya.

Ningependa tujumuike katika Uzi huu, kutaja ni Sinema ipi ambayo umeshaiona zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka.

Mimi binafsi movie ambayo huwa hainichoshi kuiangalia ni BLOOD DIAMOND Solomon Vandy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…