Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Kawaida kila mtu anaasili yake ebu kila mmoja ataje pombe za asili ya kwao.... mi ninaanza kama ifutavyo
1. Ngedule
2. kangala
3. Choya
4.Dadii
5.Mbege
6.kimpumu
7.Komoni
8.Ulanzi
.......................................
Najua wengine mtasingizia kuwa hamzifahamu ila mkiwa wadogo wazazi wenu waliwapa ili mlale na kutosumbua hasa kwenye kilimo na shughuli nyingine....
je wewe unazijua zipi na ulishawahi kunywa?
1. Ngedule
2. kangala
3. Choya
4.Dadii
5.Mbege
6.kimpumu
7.Komoni
8.Ulanzi
.......................................
Najua wengine mtasingizia kuwa hamzifahamu ila mkiwa wadogo wazazi wenu waliwapa ili mlale na kutosumbua hasa kwenye kilimo na shughuli nyingine....
je wewe unazijua zipi na ulishawahi kunywa?