Tairi confortable zaidi

Tairi confortable zaidi

chayowa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
413
Reaction score
112
Habari wakuu.
Nina tatizwa na uchaguzi wa tairi katika gari langu.. Kwanza nina rim size mbili.. 16 na 17. Nataka kununua tairi mpya na ndipo mchanganyo unapokuja.. Ipi tairi itanipa confortability nzuri kwenye barabara smooth na rough kati ya 215/60R16 au 215/55R17?
Eti ni kweli tairi nyembamba mfano 225/50R17 inaafadhali katika usalama kuliko pana?Asanteni sana
 
Habari wakuu.
Nina tatizwa na uchaguzi wa tairi katika gari langu.. Kwanza nina rim size mbili.. 16 na 17. Nataka kununua tairi mpya na ndipo mchanganyo unapokuja.. Ipi tairi itanipa confortability nzuri kwenye barabara smooth na rough kati ya 215/60R16 au 215/55R17?
Eti ni kweli tairi nyembamba mfano 225/50R17 inaafadhali katika usalama kuliko pana?Asanteni sana


215/60r17 itakupa comfortability na 225/50r17 italipa gari lako muonekano mzuri tu,comfortability itapungua sana. Na inabidi uwe makini kwenye njia mbovu maanake kupinda rim au kuchana tairi kwenye matuta mashimo ni kitu cha klawaida.
 
215/60r17 itakupa comfortability na 225/50r17 italipa gari lako muonekano mzuri tu,comfortability itapungua sana. Na inabidi uwe makini kwenye njia mbovu maanake kupinda rim au kuchana tairi kwenye matuta mashimo ni kitu cha klawaida.

Asante mkuu.. R ni 16 kwa hiyo rim moja. Kwahiyo kwa utamu wa kuendesha niinunulie 215/60R16? Au naweza nunua 215/60R17 na ikakaa pasipo kugusa?
 
Asante mkuu.. R ni 16 kwa hiyo rim moja. Kwahiyo kwa utamu wa kuendesha niinunulie 215/60R16? Au naweza nunua 215/60R17 na ikakaa pasipo kugusa?

r17 ni low profile utapata 55 au 45 au 50 huwezi kupata 60 itagusa body. kama unataka comfort nunua 215/60r16 kama unataka urembo na unakaa mjini lami tupu nunua 225/55r17
 
r17 ni low profile utapata 55 au 45 au 50 huwezi kupata 60 itagusa body. kama unataka comfort nunua 215/60r16 kama unataka urembo na unakaa mjini lami tupu nunua 225/55r17

Nakushukuru ndugu yangu
 
Nenda superdoll wakupe tairi ila ndo ujipange. Almost 500000 per tyre, au unataka mchina?
 
215/60r17 itakupa comfortability na 225/50r17 italipa gari lako muonekano mzuri tu,comfortability itapungua sana. Na inabidi uwe makini kwenye njia mbovu maanake kupinda rim au kuchana tairi kwenye matuta mashimo ni kitu cha klawaida.

Heshima sana mkuu........
Ki ufupi aweke tairi size iliyopendekezwa na watengenezaji wa gari.......wana maana yao......
Kubadilisha na kuweka madoido ni sawa lakini maisha ya gari yatakuwa hatarini.........
 
Nenda superdoll wakupe tairi ila ndo ujipange. Almost 500000 per tyre, au unataka mchina?

Superdoll wana punguzo kwenye tairi za BF........awahi kabla offer haijaisha........buy 3 get one free.......
Bei inazungukia maeneo ya 1.7m..........
 
Heshima sana mkuu........
Ki ufupi aweke tairi size iliyopendekezwa na watengenezaji wa gari.......wana maana yao......
Kubadilisha na kuweka madoido ni sawa lakini maisha ya gari yatakuwa hatarini.........

Asante mkuu. Recommended tires zake ni 215/60R16, 215/55R17 na 235/45R18. Ila mimi ninazo rim za R16 na R17.
 
Superdoll wana punguzo kwenye tairi za BF........awahi kabla offer haijaisha........buy 3 get one free.......
Bei inazungukia maeneo ya 1.7m..........

Ila yale makashata makubwa hayavumi barabarani ndugu?
 
Asante mkuu. Recommended tires zake ni 215/60R16, 215/55R17 na 235/45R18. Ila mimi ninazo rim za R16 na R17.

Weka hizo zilizo kuwa recommended.........kama unaipenda gari yako.........
 
Weka hizo zilizo kuwa recommended.........kama unaipenda gari yako.........

Okey. Ndio maana nikauliza kati ya 215/60R16 na 215/55R17 ipi confortable zaidi ya mwenzake
 
Dah, nimewacheki bfgoodrich ni 512,000 each..

Ni tairi nzuri sana, gari inatulia sana mpaka kwenye rough road ukiwa speed hata kubwa, zinunue utaniambia. Hizo tairi ni Made in USA
 
Asante mkuu. Recommended tires zake ni 215/60R16, 215/55R17 na 235/45R18. Ila mimi ninazo rim za R16 na R17.


Fuata manual ya gari mkuu.
Usilazimishe, dynamics za hilo gari hazitakaa sawa.
 
Habari wakuu.
Nina tatizwa na uchaguzi wa tairi katika gari langu.. Kwanza nina rim size mbili.. 16 na 17. Nataka kununua tairi mpya na ndipo mchanganyo unapokuja.. Ipi tairi itanipa confortability nzuri kwenye barabara smooth na rough kati ya 215/60R16 au 215/55R17?
Eti ni kweli tairi nyembamba mfano 225/50R17 inaafadhali katika usalama kuliko pana?Asanteni sana

Tafadhali jibu maswali haya.
Ni ya msingi sana wakati unachagua aina na size ya tairi.

1. Gari yako ni aina gani na mwaka gani?

2. Barabara unazotumia mara kwa mara ni za aina gani?

3. Je unasafiri safari ndefu na hilo gari mara kwa mara?

4. Ni matumizi ya aina gani unayotumia kwa hilo gari lako?

5. Je huwa unalijaza mzigo mkubwa (full capacity) mara kwa mara?

6. Je watumia gari lako kuvuta trela mara kwa mara?
 
Tafadhali jibu maswali haya.
Ni ya msingi sana wakati unachagua aina na size ya tairi.

1. Gari yako ni aina gani na mwaka gani?

2. Barabara unazotumia mara kwa mara ni za aina gani?

3. Je unasafiri safari ndefu na hilo gari mara kwa mara?

4. Ni matumizi ya aina gani unayotumia kwa hilo gari lako?

5. Je huwa unalijaza mzigo mkubwa (full capacity) mara kwa mara?

6. Je watumia gari lako kuvuta trela mara kwa mara?

1. Subaru forester, 2005
2. Hapa dsm ila pia rough road
3. Mara kwa mara hapa dsm ila inaenda shambani.
4. Ndiyo gari ya mishe mishe pia ndio ya safari ya familia
5. Kiukweli nikiwa na mizigo ili mradi inaingia huwa naitumia hii hii. Na kwa kweli buti yake ni kubwa.
6. Hapana sijawahi kuitumia kuvuta trela
 
Back
Top Bottom