Watu wakisema TFF bado haijapata viongozi, hatuamini. Wewe fikiria, kwa wiki kadhaa sasa watu wanaiongelea mechi ya brazil tu badala ya kuongelea mechi hii muhimu. Sitashangaa nikisikia wachezaji hawakuwa ma morali yoyote, wao wanawaza kucheza na brazil.