Taifa stars yaonyesha kiwango kibovu

Taifa stars yaonyesha kiwango kibovu

Grader

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
445
Reaction score
65
Jamani sijawahi kuona timu yetu ya Tanzania(Taifa stars) kuonyesha kiwango kibovu kama hiki. Hivi hatuna wachezaji wazuri au kocha kukariri wachezaji. Ukweli Swaziland(FIFA raking 175) kutuchezea mpira wanavyotaka. Hivyi hakuna wachezaji wa kiungo mpaka kumchezesha Erasto Nyoni na washambuliaji Bocco anarukaruka. Tunadhalilishwa kwanini tulikubali kushiriki Cosafa
 
Mchezo umemalizika imefungwa 1-0. Basi kesho magazeti ya Tanzania yataandika "Taifa stars yafa kiume" na visingizio kibao, utaambiwa eti baridi kali
 
Taifa Stars hata ingefungwa goli 10-0 nisingesikitika. Kwenye mpira wa miguu mimi si Mtanzania niliisha jitoa. Poleni sana na ndiyo bado ....
 
LOL! Sasa kwenye mpira wa miguu uraia wako ni upi?

Taifa Stars hata ingefungwa goli 10-0 nisingesikitika. Kwenye mpira wa miguu mimi si Mtanzania niliisha jitoa. Poleni sana na ndiyo bado ....
 
hivi taifa stars bado ipo mi niliacha kushabikia tulivyofungwa 1 kwa 0 na Msumbiji ile taifa stars ya kaniki na kina meky mexime ndiyo ilikuwa yenyewe ila hii ni uozo mtupu bora NDANDA FC kuliko T.STARS
 
yaaani mimi kwenye soka la stars huwa nabadili uraia na kuwa nchi nyingine kabisa stars bora isiwepi kabisa aibu tupu
 
Poleni ambao mnashabikia hiyo TIMU cc wengine tangu MAXIMO alipoletewa mizengwe wengine tuliamua kuachana nahiyo TIMU cz tumegundua NCHI hii sio kwenye SIASA tu hata huku kwingine ovyo Pata picha tangu kipindi kile wa MAXIMO watu tulikuwa tukienda kwenye MECHI hatuendi kushiriki tinaenda kishindana Watu wamepiga domoooo,,,,hadi akaondolewa kunanini chamanaa kilichofanyika Poleni ndg zangu wenye mzuka nahiyo tim
 
Bora tubaki tunashiriki BBA huko huwa tz tunafanya vzr sana
 
Na bado jameni Hii trailer tu Madudu mengi yanakuja mechi zijazo. Chezea Taifa stars ya sasa ya BRN
 
Huwezi kuwa na timu ya taifa nzuri wakati virabu vyako vyote vibovu.
 
Jana wakati nakatiza uswazi mida ya saa tatu na nusu nikasikia masela yanabishana!! Tambwe na Okwi wakengekuwemo tungeshinda!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jana wakati nakatiza uswazi mida ya saa tatu na nusu nikasikia masela yanabishana!! Tambwe na Okwi wakengekuwemo tungeshinda!!!!!!!!!!!!!!!!

Walikuwa na hasira ucone hivyo maana inauma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom