"JK akiwa na makamu wa rais wa pili wa tff ramadhan nasibu akiangalia mpambano wa kirafiki wa kimataifa kati ya taifa stars na zimbabwe muda huu hapa neshno. mpira umeisha na mabao ni 0-0. stars wamelisakata ile mbala ila inabidi safu ya umaliziaji ijifue zaidi."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.