M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 8,098 Reaction score 10,934 Dec 15, 2019 Thread starter #21 Shadeeya said: Hivi Mkuu timu yenyewe ya sasa inayocheza CECAFA ulishakaa na kuangalia inafanya nini ikiwa Uwanjani? Click to expand... Mpira wa Bongo Mimi siangaliagi,huwa nasikilizika tu,huko napataga mzuka..nilitaka mpira wa kuangalia naenda mchangani.
Shadeeya said: Hivi Mkuu timu yenyewe ya sasa inayocheza CECAFA ulishakaa na kuangalia inafanya nini ikiwa Uwanjani? Click to expand... Mpira wa Bongo Mimi siangaliagi,huwa nasikilizika tu,huko napataga mzuka..nilitaka mpira wa kuangalia naenda mchangani.
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,106 Reaction score 122,492 Dec 16, 2019 #22 KYALOSANGI said: Mpira wa Bongo Mimi siangaliagi,huwa nasikilizika tu,huko napataga mzuka..nilitaka mpira wa kuangalia naenda mchangani. Click to expand... Bora aisee mana hiyo timu ni kichefu chefu. Hapa tusubirie tu hiyo mechi ya Semi Final tuone itakuwaje nayo.
KYALOSANGI said: Mpira wa Bongo Mimi siangaliagi,huwa nasikilizika tu,huko napataga mzuka..nilitaka mpira wa kuangalia naenda mchangani. Click to expand... Bora aisee mana hiyo timu ni kichefu chefu. Hapa tusubirie tu hiyo mechi ya Semi Final tuone itakuwaje nayo.
Evesta Ernest Member Joined Jan 21, 2019 Posts 16 Reaction score 15 Dec 16, 2019 #23 Acha mambo yenu. Kombe hili letu Sent using Jamii Forums mobile app
S Smiling killer JF-Expert Member Joined May 1, 2018 Posts 1,290 Reaction score 1,126 Dec 16, 2019 #24 KYALOSANGI said: Hivi timu yetu,SI inacheza Leo huko Kampala ,mbona kimyaaa! Click to expand... Timu ya ccm!?...au ipi!?
KYALOSANGI said: Hivi timu yetu,SI inacheza Leo huko Kampala ,mbona kimyaaa! Click to expand... Timu ya ccm!?...au ipi!?