Ni kweli kabisa, kule wameimporove sana na ukiangalia ndo wanadominate soka la africa. Shemeji fitna inayotembea hapo TFF si unaijua? utashangaa kocha atakayekuja..nasikia kuna Mwingereza alikuwa runner up kwa maximo, anataka kutia ubani naye.....hatuendi kokote!
Bwana wee...Siasa na Soka ndo vyatuharibu siye,maana Bongo siasa kwenye soka ni kuanzia vijijini mpaka TFF Taifa...We subiri uone huyo kocha atakayekuja mbadili Maximo....Nasikia huyo Muingereza na Msweden ndo wana nafasi kubwa ya kuchukua mikoba ya Marcio...Kama haipo haipo tu,imeandikwa
kumekucha,
Mrisho Ngasa anapachika bao la pili kwa kichwa, kona imepigwa na Abdi kasim babi
taifa stars 2 , Uganda 1
hapo unadhani kuna mtu ataenda mfano uingereza siku hizi walivokuwa wachungu? kama mariga wa kenya waliwezaa kumfanyia ivo, siye tusahau..nadhani wanatafuta hilo fungu tu
Taifa stars tuko mbele 2-1 Mrisho Ngassa kapiga zote mbili
kha! wewe!
15:30Tanzania? - ?UgandaStars na the Cranes NGAPI NGAPI
Currently Active Users Viewing This Thread: 18 (12 members and 6 guests) Kaizer, Balantanda, Binti Sayuni, Che Kalizozele, genekai, jambo1, JoJiPoJi, Mfunyukuzi, Ndege ya Uchumi, nguvumali, Skills4Ever, SMU
teh teh...Shemeji,hiyo twaiita taarifa gongana
Get updated here