Mkuu nashukuru kwa kuliona hilo, hawa washabiki wa Ndala wanafiki sana kama wazee wao kina Yusuf Mzimba na Ibrahim Akilimali, juzi hapa stars imeshinda ikaitwa timu ya Taifa leo imetolewa inaitwa Simba wananiudhi kweli, ndo maana walipigwa mkono.
Watu wazima gani ulitaka waitwe, wameshindwa kuisaidia timu yao halafu unataka waitwe timu ya Taifa acha wacheze chandimu na kocha wao Maximo pale Kaunda halafu ligi kuu ikianza tuwapige zingine tano.
Mkuu wewe malizia wikend yako vizuri na kama unakunywa kunywa kwa kiuajibikaji tuache sisi na timu yetu ambayo wewe unaiita Simba, ikifungwa yetu ikishinda yetu.
Mkuu wewe malizia wikend yako vizuri na kama unakunywa kunywa kwa kiuajibikaji tuache sisi na timu yetu ambayo wewe unaiita Simba, ikifungwa yetu ikishinda yetu.