Jimmy MUsa
JF-Expert Member
- Oct 14, 2020
- 226
- 159
basi wachezaji wa bongo washaanza kumtafta mganga wa Kabwili. Sio kwa bahati hizi alizonazo.
Inasemekana Uraia wake unashida.Dah Kibu Denis hayupo
Sasa kama uraia wake una shida mbona Simba yupo kama mchezaji wa ndaniInasemekana Uraia wake unashida.
Ni Mbili baada ya hizi.Away vs Madagascar na Home Vs CongoStar's watacheza mechi mbili na Benin ambazo zitaamua hatma yao maana baada ya hizo mechi mbili inakuwa imebak mechi moja kila laher Taifa stars
Yeah mkuu typing errorNi Mbili baada ya hizi.Away vs Madagascar na Home Vs Congo
Mkude mara ya mwisho kucheza ilikuwa lini ?basi wachezaji wa bongo washaanza kumtafta mganga wa Kabwili. Sio kwa bahati hizi alizonazo.