Taifa stars inaweza chukua AFCON 2019

Brother hauko serious,timu ina wachezaji wa Mancity, Porto, Galatasalay, Fenberce ni vilabu vya kawaida? Stars hata wakifunga goli moja ni mafanikio makubwa
Mindaset yako kama wanayo wachezaji basi sisi huko ni mboga.. ila wakiacha kufikiria huu ujinga wataitambua Tanzania
 
Future impossible tense
 
Kama marefa ni wabongo na hayo mashindano yanasimamiwa na TFF chini ya Wallace Karia nakubaliana na wewe💯
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…