Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
Mh Samweli Sitta ameyasema hayo wakati wa harambee ya ujenzi wa kanisa la Mt. Teresia jimbo kuu katoliki Arusha. Amesema kuwa Mh Nyalandu na Mh Lema ni vijana ambao taifa linawahitaji na wao kama wazee wameshaanza kuwaridhisha uongozi wakiwa na matumaini makubwa kuwa watatufikisha kwenye nchi ambayo baba wa taifa alitamani tufike!
Nawasilisha
Nawasilisha