Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 270
- 377
Habari wanajamvi.
Leo nimeona ni vyema tujumbushane fujo la vurugu za mwaka wa uchaguzi. Mambo huwa ni mengi sana yanayofikirisha na yanayozua maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
Rai yangu kwa watanzania wenzangu wote, tusiingie kwenye mtego wa wanasiasa, wao kama wanataka kuzuia au kukinukisha kama baadhi yao wanavyosema waacheni wakakinukishe wao na familia zaoo.
Tusiiubali kuumia kwaajili ya matumbo ya watu wengine, kila mmoja aangalie amani yake na familia yake.
Asubihi njema wakuu
Leo nimeona ni vyema tujumbushane fujo la vurugu za mwaka wa uchaguzi. Mambo huwa ni mengi sana yanayofikirisha na yanayozua maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
Rai yangu kwa watanzania wenzangu wote, tusiingie kwenye mtego wa wanasiasa, wao kama wanataka kuzuia au kukinukisha kama baadhi yao wanavyosema waacheni wakakinukishe wao na familia zaoo.
Tusiiubali kuumia kwaajili ya matumbo ya watu wengine, kila mmoja aangalie amani yake na familia yake.
Asubihi njema wakuu