Taharuki dira yageuka dera

Taharuki dira yageuka dera

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,385
Reaction score
2,587
Ndani ya jahazi la kusadikika, Lenye uelekeo usiojulikana

Wadada kwa wakaka, wamebaki na bumbuwazi. Nahodha wa chombo hayupo wazi
Ile dira iliyokuwa mezani

Imeponyoka katoa matanga Kashona dera

Abiria kwa mabaharia, Wamebaki wanalia

Hichi ndicho kisa cha dira kugeuka dera, kama hujaelewa usijali mtafute Gen Z akutafsirie.
 
Ndani ya jahazi la kusadikika, Lenye uelekeo usiojulikana

Wadada kwa wakaka, wamebaki na bumbuwazi. Nahodha wa chombo hayupo wazi
Ile dira iliyokuwa mezani

Imeponyoka katoa matanga Kashona dera

Abiria kwa mabaharia, Wamebaki wanalia

Hichi ndicho kisa cha dira kugeuka dera, kama hujaelewa usijali mtafute Gen Z akutafsirie.
Kwani mzena wanasemaje?
😄 🤣 😂
 
Nimeshindwa nisome kama shairi au habari?🤣🤣🤣
 
Dera likafinyia kwenye chupi kiunoni
 
Maza ameshaharibu, kiasi kwamba hata ccm wenzake sasa wamemshtukia. Chama ni kikubwa kuliko mtu mmoja, chama hakiwezi kuzikwa kwa upuuzi wa mtu mmoja.

Nchi ni kubwa kuliko chama na mtu mmoja.

Ni heri kumdonsha mmoja na kuliponya taifa kuliko kumng'ang'ania mmoja na kuliua taifa na Chama.

Mama bye byee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom