Mkuu wewe mume au mke kama Mme mbona muoga hivyo?siwezi kutoka nje Nina familia na inanihitaji sana. Kwa nilichokiona dirishani kinanitosha
siwezi kutoka nje Nina familia na inanihitaji sana. Kwa nilichokiona dirishani kinanitosha
kikao cha ukutaNi ving'ora, magari yanakimbia, magari ya deraya yanapita kasi yakipiga kengele na kelele. Hali inatisha, tuko kwenye taharuki kubwa wakazi wa Mwenge
Labda kuna mtu katoa taarifa UKAWA wapo huko wameanzisha yaoNi ving'ora, magari yanakimbia, magari ya deraya yanapita kasi yakipiga kengele na kelele. Hali inatisha, tuko kwenye taharuki kubwa wakazi wa Mwenge
ukitulia njoo utuhadithie tena, chungulia vizuri ukipigwa tutachanga plasta wana forumNi ving'ora, magari yanakimbia, magari ya deraya yanapita kasi yakipiga kengele na kelele. Hali inatisha, tuko kwenye taharuki kubwa wakazi wa Mwenge
hlo nenoWanaume Wa dar waoga
AAah kweli we huwezi ishi Syriasiwezi kutoka nje Nina familia na inanihitaji sana. Kwa nilichokiona dirishani kinanitosha