Tahadhari

Uwongo mtupu
mimi baba yangu sikuwahi sikia wala kuona ana mwanamke mwingine
zaidi ya mama.....

Sasa ukija kwangu mimi......
Well......how do i say this.....lol


hahahahahahah lol! like father like son...most of the time but not always :)
 
Kwa uchunguzi nilio ufanya nimetthibitisha kuwa zinaa inarithiwa. Ukiwa mzinifu kuna asilimia zaidi ya 90 kuwa na wanao watakuwa wazinifu. Jaribu kuchunguza mzinifu yoyote utakuta baba/mama yake au wote nao ni wazinifu au walikuwa wazinifu.tujiepusheni wandugu ili tuvinusuru vizazi vyetu kwani hata mwenezi mungu mtukufu anakataza zinaa.
unadhani mtu ataepukaje wakati umeshasema amerithi?
 
Back
Top Bottom