au BP, pumu nkDahh naona unatakA kufananisha ZINAA na kitu kama CANCER...
Hayo nayo yameanza lini kua magonjwa ya kuambukiza?!au BP, pumu nk
Baba yake obama alikuwa kiwembe kwa wanawake
mpaka akafukuzwa havard kwa ajili ya wanawake....
Je obama amerithi tabia hiyo??????????
Mmh! Leteni mifano ya tz tujadili!Baba yake obama alikuwa kiwembe kwa wanawakempaka akafukuzwa havard kwa ajili ya wanawake....Je obama amerithi tabia hiyo??????????
Kwa uchunguzi nilio ufanya nimetthibitisha kuwa zinaa
inarithiwa. Ukiwa mzinifu kuna asilimia zaidi ya 90 kuwa na wanao watakuwa wazinifu. Jaribu kuchunguza mzinifu yoyote utakuta baba/mama yake au wote nao ni wazinifu au walikuwa wazinifu.tujiepusheni wandugu ili tuvinusuru vizazi vyetu kwani hata mwenezi mungu mtukufu anakataza zinaa.
Mi naona kuwa Mtu muadilifu ataweza kusimamia vema uadilifu ktk jamii yake. Wazazi au wanafamilia wengine ndio chachu ya maadili mema iwapo wao watakuwa waadilifu mbele ya wale wanaowaona kuwa ni mifano ya kuigwa kwao. Kiimani pia inaiminika kuwa kila jambo baya hulipwa hapa hapa Duniani mfano Mzinifu usifurahi kuwazini watoto wa wenzako maana hata wako nao wataziniwa na wengine. Hivyo inatakiwa tujilinde na yote yale mabaya ambayo tunaisi tukifanyiwa sisi yatatukwaza hii pia itatufanya kuwa kioo cha jamii inayotuzunguka na kukemea kwa nguvu zaidi ouvu ktk jamii zetu.Kwa uchunguzi nilio ufanya nimetthibitisha kuwa zinaa inarithiwa. Ukiwa mzinifu kuna asilimia zaidi ya 90 kuwa na wanao watakuwa wazinifu. Jaribu kuchunguza mzinifu yoyote utakuta baba/mama yake au wote nao ni wazinifu au walikuwa wazinifu.tujiepusheni wandugu ili tuvinusuru vizazi vyetu kwani hata mwenezi mungu mtukufu anakataza zinaa.
Uwongo mtupumimi baba yangu sikuwahi sikia wala kuona ana mwanamke mwinginezaidi ya mama.....Sasa ukija kwangu mimi......Well......how do i say this.....lol