ni kama wiki tu limepita rafiki yangu kaka angu mmoja kwa jina namhifadhi alipopatwa na mkasa huu.
siku ambayo kulikuwa kuna mvua mvua akiwa kapungia teksi njiani akiwa ana mpango wa kwenda maeneo ya nyerere road teksi ikasimama na kwa kuwa kulikuwa na mvua haraka akatumbukia,canasema dereva alikuwa ni mtu mzima wakati wanakwenda akamweleza kuwa kwa kuwa alikesha na kwa kazi na asubuhi ikambidi adamkie kwa mgonjwa wake muhimbili hivyo basi akaomba ampigie kijana wake ili atakapomfikisha yeye abiria yeye aweze kurudishwa nyumbani akapumzike na yule shunta wake aendelee na kazi,kwa kuwa alikuwa ni mtu wa makamo my friend akumtilia shaka loo kumbe!! anamwita jambazi mwenzakle kilichofanyika ni gari kuelekea majani ya chai kue kwenye ofisi za mobitel wakati huo yule jamaa kesha panda na yuko kwenye uskani na yule mzee karudi nyuma anapekua mfuko wa abria jamaa akashutuka kumuuliza vipi mzee akaambiwa tulia kama ulivyokaa bisu lime toka na jama wa mbele nae kwenye jaketi katoa bisu jamaa kwa kuwa alijua mfuko unanguo tu za kupeleka kwa dobi akutaka kuuleta vurugu hivyo ikabidi atulie walichoambulia ni walleti yenye pesa kidogo miwani yake ya macho fuko la nguo chafu wakamwachi.
jamani kuweni macho na taksi za juu kwa juuu pia usidhani huyu dereva mzee ndio wa maana wengine ni afadhali ukutane na chui angalia stahili aliyotumia mi nimechoka ooh kijana wangu kumbe naye ni jambazi. this is dar es salaam wazee nao ni majambazi.
ushauri tuu kwa kamanda kova taksi zote rangi moja zipigwe na manamba ya ubavuni makumbwa lakini kama kuna mwenye mchango mwingine naomba achangie katika hili kudhibiti maana matukio hay si mageni.
siku ambayo kulikuwa kuna mvua mvua akiwa kapungia teksi njiani akiwa ana mpango wa kwenda maeneo ya nyerere road teksi ikasimama na kwa kuwa kulikuwa na mvua haraka akatumbukia,canasema dereva alikuwa ni mtu mzima wakati wanakwenda akamweleza kuwa kwa kuwa alikesha na kwa kazi na asubuhi ikambidi adamkie kwa mgonjwa wake muhimbili hivyo basi akaomba ampigie kijana wake ili atakapomfikisha yeye abiria yeye aweze kurudishwa nyumbani akapumzike na yule shunta wake aendelee na kazi,kwa kuwa alikuwa ni mtu wa makamo my friend akumtilia shaka loo kumbe!! anamwita jambazi mwenzakle kilichofanyika ni gari kuelekea majani ya chai kue kwenye ofisi za mobitel wakati huo yule jamaa kesha panda na yuko kwenye uskani na yule mzee karudi nyuma anapekua mfuko wa abria jamaa akashutuka kumuuliza vipi mzee akaambiwa tulia kama ulivyokaa bisu lime toka na jama wa mbele nae kwenye jaketi katoa bisu jamaa kwa kuwa alijua mfuko unanguo tu za kupeleka kwa dobi akutaka kuuleta vurugu hivyo ikabidi atulie walichoambulia ni walleti yenye pesa kidogo miwani yake ya macho fuko la nguo chafu wakamwachi.
jamani kuweni macho na taksi za juu kwa juuu pia usidhani huyu dereva mzee ndio wa maana wengine ni afadhali ukutane na chui angalia stahili aliyotumia mi nimechoka ooh kijana wangu kumbe naye ni jambazi. this is dar es salaam wazee nao ni majambazi.
ushauri tuu kwa kamanda kova taksi zote rangi moja zipigwe na manamba ya ubavuni makumbwa lakini kama kuna mwenye mchango mwingine naomba achangie katika hili kudhibiti maana matukio hay si mageni.