Tahadhari Kwa Wezi Wa Simu Mtaani!!!

Tahadhari Kwa Wezi Wa Simu Mtaani!!!

Mkuu nilifikiri wezi hawa ni wa kariakoo kumbe ni majuu na hao huwa hatuwawezi wako mbali sana na sisi ndio kwanza uko na mchakato wa vipengere vya kumdidimiza mlala hoi na tukimaliza hapo ndio tutakuwa na mashindano ya vazi la tangayika

Mkuu wapigaji wako kila mahali duniani. Kuna wakati nilikuwa Uholanzi Maastricht nikiwa kituo cha bus akaja mwafrika na kwa haraka haraka alionekana kuwa Mnigeria!!!!! Akaanza kunizungumzia usanii, kumcheki hadi suruali ilikuwa imetoboka. Nilimpiga maswali ya chenga matatu tu nakuambia in a less than 5 minutes sikumuona tena.
 
Nimecheka sana mkuu..unamaanisha wabongo ni wabishi kiivo?

Vibaya mnoo.
Kuna mmoja aliiba simu kwenye ofisi, na camera za ofisi zikamnasa kabisa wakati anaichukua.
Akabisha, mpaka leo hawana la kumfanya.
 
Kwa hizi simu S
zetu za kawaida kama TECNO software inaitwaje naona ni nzuri
 
Mbona icho kitu cha kawaida sana hata note 3,s4,s5 na android nyngne nying znauwezo huo ni swala la setting wengi hawajui jinsi ya kuset

Acha ungo wewe setting gani niambie? Hiyo ni app mpaka uidownload wewe acha uongo et setting??
 
Back
Top Bottom