saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,884
- 2,822
Ukiua uanze kwenda lumande, ukimvunja mguu ushaidi na watatajana, hii ya wafungwa kupigwa risasi miguu nilimuulizaga swali anko wangu wanawafanyaje wafungwa wakiona wanakimbia.Hawezi mtu anamkaribia baba/mama yangu kumpiga panga la kichwa mimi nimpige risasi ya mguu.. ujinga huo siwezi mkuu