Hivi kama vijana wadogo tu wanaweza kuleta tafrani ndani ya nchi,vipi yakiingia magaidi si tutaaibika sisi..
Vitu vyengine ni dharau hizi na hili linaonyesha kuna myumbo mpana Sana ktk ngazi ya ulinzi,Kama mtu unafikiri watu unaweza kuwaongoza kwa demokrasia pekee jua unapotea! Tena unapotea sana!.. dictatorship na democracy lazima ziwe applied zote!, mazingira ya matumizi yake ndio yatakuwa yanatofauti kutokana na njia ipi itakuwa bora kutumika ktk mazingira husika huo ndio ukweli mchungu!.. nje na hapo labda Kama wewe ni mgeni wa watu!
We shauri yako endelea kusifu ujingaMpo humu naona kuna jinga moja linawapa sifa kuwa baadhi ya viongozi wanawajua na wanawatumia.. nahisi haujaiona hio comment mkuu
Wahivi watakuta amelala na bisu la kichwa!Cha ajabu.. wanaingia kati kati ya jiji kabsa “ dharau
Bastola utamwahisha ukipata chance mchezeshe kipigo haswa halafu mtie bisu la koromeo mmwage huko waone na hao panya wenzake!Mkuu.. nipo home mzee nimeshaikoki bastola yangu yaani ntafungwa maana serikali yetu hata kwa kujitetea unaweza ukafungwa..