Tahadhari kwa wanaume wazinzi

JayK

Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
34
Reaction score
33
Hii nimekutana nayo leo kwenye phone bible yangu.

Mithali 6:32-33

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.

***************
Najaribu kufikiria tu ni wanaume wangapi humu jamii forum hawana akili kabisa....
 
je wewe ni mmoja wapo wasio na akili?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…