Tahadhari kwa wanaume wazinzi

Tahadhari kwa wanaume wazinzi

JayK

Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
34
Reaction score
33
Hii nimekutana nayo leo kwenye phone bible yangu.

Mithali 6:32-33

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.

***************
Najaribu kufikiria tu ni wanaume wangapi humu jamii forum hawana akili kabisa....
 
je wewe ni mmoja wapo wasio na akili?
 
Back
Top Bottom