chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Natoa angalizo tu.
Siku hizi wanaume wanajisahau na akina mama wanachukua fursa!
Atajifanya anakupenda, atakuwekea chakula kwenye hotpot yako na wewe utaona anajali, kinachofanyika ni kwamba, chakula hicho kimewekewa madawa ya kichawi na kishirikina yakiwa na manuizi kukufanya wewe msukule na zezete na chuma ulete, kazi yako iwe kumlisha Huyo mwanamke na kaka zake, dada zake, wakwe zako.
Asilimia kubwa ya wanaume waliooa ni misukule inayotembea,chunguza utaona!
Usiwe na ratiba rasmi ya kula nyumbani, wala kurudi nyumbani,itakula kwako!
Siku hizi wanaume wanajisahau na akina mama wanachukua fursa!
Atajifanya anakupenda, atakuwekea chakula kwenye hotpot yako na wewe utaona anajali, kinachofanyika ni kwamba, chakula hicho kimewekewa madawa ya kichawi na kishirikina yakiwa na manuizi kukufanya wewe msukule na zezete na chuma ulete, kazi yako iwe kumlisha Huyo mwanamke na kaka zake, dada zake, wakwe zako.
Asilimia kubwa ya wanaume waliooa ni misukule inayotembea,chunguza utaona!
Usiwe na ratiba rasmi ya kula nyumbani, wala kurudi nyumbani,itakula kwako!