DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,906
Nimeona rafiki.kuna mada kwa ajili yenu
Ila nmeona uvivu kusoma
Nimeona rafiki.kuna mada kwa ajili yenu
Jirani kakidume ketu hakajambo?
Jilan Umenifraisha Sana Jilan Kapo Kanaendelea Vzr Kabisahahaha kape hi sana![]()
![]()
![]()
![]()
Jilan Umenifraisha Sana Jilan Kapo Kanaendelea Vzr Kabisa
Soma upate vitu vipyaNimeona rafiki.
Ila nmeona uvivu kusoma
Nmefanya skimming nkaona point ndio zile zile za kila siku.Soma upate vitu vipya
1. Ukimpa mwanamke pesa kabda ya ngono ni rushwa, ukimpa baada ngono ni asante.Kuhonga mbona hujalizungumzia??
He he he he1. Ukimpa mwanamke pesa kabda ya ngono ni rushwa, ukimpa baada ngono ni asante.
2. Ukimpa mwanamke ajira baada ya ngono ni rushwa, Ila mkingonoka baada ya ajira ni asante.
3. Ukimpa mwanamke lift kwa mara ya kwanza kisha ukamuomba namba ya simu umemtamani, usipomuomba atakuzarau.
4. Ukikutana na mwanamke kwamara ya kwanza ukumuuliza jina akakujibu bila kuuliza lakwako, huyo achana nae.
5. Ukimpa mwanamke lift kwa mara ya kwanza, simu yake iko pochini mara anaitoa na kuanza kuichezea jua anataka umuombe namba ya simu, achana nae.
6. Ukimpa mwanamke lift kwa mara ya kwanza kisha unamuuliza anashuka wapi nae anakuuliza kwani unakwenda mpaka wapi, huyo achana nae.
Na utakufa mdomo waz hahahaHaya na nife tu kama yote hayo hayafai.