Tahadhari kwa wanaotafuta Ajira (Soma Tafadhali)

kichaka1

Member
Aug 8, 2012
5
1
Kuna watu wameibuka wakidai ni waajiri wanapigia watu simu wakiwa kwenye sauti za kuigiza, barua za kuita watu kazini na mikataba ya kazi, kwa mujibu wa vyombo vya habari jana wameibiwa watu wengi huko mgodini kwa madai ya kutoa lunch ili kuitwa interview.
namba za simu na nafasi wanazoomba watu wanazisoma kwenye mitandao ya ajira. 3W jobs Tanzania wakiwa mmoja wao pamoja na ujanja mwingine, kwa kuwa uwezo wa jeshi letu la polisi si wa haraka ni vema ukamwarifu na mwenzako ili kuwa makini.
kama umeshaibiwa unaweza kureverse pesa zako mpesa kwani wizi walioufanya ni mkubwa na hawawezi kutoa pesa zote kwa pamoja, mimi ni mwathirika wa tukio hilo na pesa zangu nimefanikiwa kurudisha kwa kupiga voda bila kuwaomba.
poleni sana watu wote mlioibiwa na maangaiko mema ya ajira, Mungu ni mwema ipo siku tutapata.
 
Mh hata mm week iliyopita niliunganishwa na mtu akidai ndo general director wa PSpF yaani Adam mringo akanifanyia interview kwenye simu, baada ya hapo akaniambia kazi umepata nimeshakuingiza kwenye data base, nilichoshituka, kila swali nililokuwa najibu ananiambia Excellent,, pia nilishangaa sio kawaida boss anienterview , baada ya hapo akanambia nimtumie sh 500000 kwenye number ya secretary wake, nikamwambia kwa kweli hii kazi sio riziki yangu cz mm najua Mungu yupo na mm , matokeo yangu mazuri hivyo sipo tayari kuhonga hela nipate kazi, akaanza kuwa mkali na kusema mm ni mjeuri, then akaniuliza kwani nina shillingi ngapi? Wazar waliporudi walimpigia simu akabadilisha jina na kukana kuwa sio huyo boss ni rafika yake, jaman tuweni makini sana na number zao ninazo
 
  • Thanks
Reactions: OMJ
Just imagine how many they are out there. Tuwe makini jamani
 
Mh hata mm week iliyopita niliunganishwa na mtu akidai ndo general director wa PSpF yaani Adam mringo akanifanyia interview kwenye simu, baada ya hapo akaniambia kazi umepata nimeshakuingiza kwenye data base, nilichoshituka, kila swali nililokuwa najibu ananiambia Excellent,, pia nilishangaa sio kawaida boss anienterview , baada ya hapo akanambia nimtumie sh 500000 kwenye number ya secretary wake, nikamwambia kwa kweli hii kazi sio riziki yangu cz mm najua Mungu yupo na mm , matokeo yangu mazuri hivyo sipo tayari kuhonga hela nipate kazi, akaanza kuwa mkali na kusema mm ni mjeuri, then akaniuliza kwani nina shillingi ngapi? Wazar waliporudi walimpigia simu akabadilisha jina na kukana kuwa sio huyo boss ni rafika yake, jaman tuweni makini sana na number zao ninazo

Duuh huyo kwel ni ----,ofis ya serikali tangu lini wakafanya interview kwa simu???na lini Director akainterciew?/ila tuwe tunasoma magazeti na news;for your information PSPF saiv mkurugenzi ni mwanamama
 
Mh hata mm week iliyopita niliunganishwa na mtu akidai ndo general director wa PSpF yaani Adam mringo akanifanyia interview kwenye simu, baada ya hapo akaniambia kazi umepata nimeshakuingiza kwenye data base, nilichoshituka, kila swali nililokuwa najibu ananiambia Excellent,, pia nilishangaa sio kawaida boss anienterview , baada ya hapo akanambia nimtumie sh 500000 kwenye number ya secretary wake, nikamwambia kwa kweli hii kazi sio riziki yangu cz mm najua Mungu yupo na mm , matokeo yangu mazuri hivyo sipo tayari kuhonga hela nipate kazi, akaanza kuwa mkali na kusema mm ni mjeuri, then akaniuliza kwani nina shillingi ngapi? Wazar waliporudi walimpigia simu akabadilisha jina na kukana kuwa sio huyo boss ni rafika yake, jaman tuweni makini sana na number zao ninazo

Pole ndugu, cha msingi endelea na msimamo wako wakutotuma hela tu hata kwenye haki yako. Sisitiza, "Haibiwi mtu hapa"
 
Back
Top Bottom