Kuna baadhi ya watu wanabeba mabango yaliyoandikwa KASKAZINI IKULU LAZIMA TUENDE, hayo mabango hayana nia njema kwa UKAWA na pia kwa Lowassa. Yapo kwa jili ya kutugawa kwa ukanda na kudiscourage wengne wakanda nyingne. Naomba yadhibitiwe mapema na haraka mno.
kuna baadhi ya watu wanabeba mabango yaliyoandikwa KASKAZINI IKULU LAZIMA TUENDE,hayo mabango hayana nia njema kwa ukawa napia kwa luwasa.yapo kwajili yakutugawa kwa ukanda nakudiscourage wengne wakanda nyngne.naomba yazibitiwe mapema naharaka mno.
Mbona inaeleweka tu kwamba ukawa ni ya huko wasio wa huko walitoka na kutolewa,na urais kamwe hauwezi kwenda huko acha wanogeshe genge kujaza watu viwanjan
Sijaona cha ukanda kwa hiyo ambao tunatoka kanda ya Ziwa tumchague pombe kwa sababu hanatoka huko kwa sasa mabadiliko muhimu ukanda pembeni bango siyo issue
hayo yote ni kama tu kuwailisha au kujibu ile hoja ya kwamba haitatokea hata one day rais kutoka kaskazin lakin kauli ambayo ilitamkwa na wakuu wa chichiem na wala haikukanushwa mpaka leo; lakin sie wanamabadiliko hilo haliwez kutupa taabu letu ni moja tu nalo ni hili: kura zote kwa EL afanye campeign asifanye kura tunampa tuuuu.... vibaka na bange za lumimba zipishe mbali.