willtarimo
Member
- Mar 20, 2014
- 21
- 10
Bado sijaona huo U_expert wako. Unajitamba na degree ya biashara. Kila mtu akianza kusema elimu yake hapa na uzoefu alionao tutafika kweli. Kwa uzoefu wangu wa miaka 5 wa kununua hisa na kuuza hata kufatilia kila leo soko la hisa, hapo umeipotosha jamii. Kuwa makini na fatilia kwa makini soko la hisa usitoe taarifa kama haujafatilia vya kutosha (No research no right to speak). Sitoweza kutaja elimu yangu kama unavyojibandikia wewe elimu ili kupotosha wachache waliomo humu juu ya soko la hisa. Me naona thread yako ni kama vile imekaa kivita fulani ndani yake.Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Una point nzuri....why now and not five years ago while it was booming..
Nami kidogo niingie DECI miaka hiyo. Watu wanamkosoa lakini kuwapa watu tahadhari ni jambo bora sana!Dah umenikumbusha 2011 karibu niingie mkenge Precision
Mkuu tusaidie wengine inakuwaje sasa hata wakiorodhesha DSE huku assets hawana Mimi nayenunua hisa nanunua kipi kama siyo jina kwa kauli ya mtoa madam!?Nami navyojua ndio hvyo ...huyu mleta Uzi ana degree ya kukariri kwenye vimbweta bila kufuatilia yanayoendelea kwenye nchi.
Wewe unajua zaidi kuliko CMSA na DSE who are evaluating those Telecom Companies? Usipotoshe.Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Ordinary shareholders wanakuaga wa mwisho kupata gawiwo kama faida itakuwepo baada ya kutoa gharama zote na sio lazima wao wapate dividend/gawiwo kama litapatikana.Leo pia nimesikia Kuna mtu kapiga simu REDIO tumaini kipindi cha dukuduku akiomba Swiss port wawalipe gawio lao la hisa toka mwaka 2015 au 2005 sijasikia vizuri hawajawahi kutoa gawio Kwa wana hisa
Sent from Microsoft Lumia 950xl Lte
You are a FUNDI indeed! Thank you!Kama hii ndio msingi (premise) wa unachosema (argument yako), umepotoka na unapotosha wengine.
Hapa unaweza kuwa na point, lakini kwa msingi huo huo milicom imenunua hisa za zantel kutoka etisalat si muda mrefu umepita, nao wawe studied. Na hii isieleweke kwamba nasema zantel wanafanya vizuri au la.
Unanunua thamani ya baadaye (future value) ya kampuni.
Sio ajabu unaloita "jina tu" lina thamani zaidi ya minara, majengo na magari. Umesema umesoma biashara miaka 10 au zaidi so you should know this. Minara, majengo na magari sio core asset kwa mitandao ya simu, zingekuwa core asset wasingemuachia mwingine.
Hii ni sahihi. Ungeishia hapa ingetosha.
Utter nonsense. And spoken with so much authority and in such a self assured manner too, the story of these forums.
Miaka 10 yote ya nini? Au ulikuwa una "disco" au una "resit"! Hongera, but your major syllogism fell apart, anyway!Jamani, msije kusema napiga porojo, mimi nina digrii kadhaa kwenye mambo ya biashara, nimetumia karibu miaka kumi kusomea mambo ya kibiashara
Huyu jamaa ni muongo kuliko hats mwenye jina lake mohongo wa pale mjengoniJamani, msije kusema napiga porojo, mimi nina digrii kadhaa kwenye mambo ya biashara, nimetumia karibu miaka kumi kusomea mambo ya kibiashara, kwa hiyo ndio maana naona bora niwataadharishe nyie mnaotegemea kununua hisa kwenye makampuni haya ya simu...
Kwa nini mtu huuza hisa?
Kuna sababu kadhaa za kuuza hisa, moja ni kuongeza mtaji ili kukuza biashara,
- Mbili ni pale mtu anapotaka kujitoa kwenye biashara huuza hisa zake kwenye biashara husika,
- Tatu ni kukusanya fedha ili kuweza kulipia madeni iwapo kampuni ipo kwenye hali ngumu kiuchumi.
Kwa nini kampuni nyingi za simu wanauza hisa, na kwa nini wanauza sasa?
- The market is not growing or its not profitable kwa hiyo wanauza hisa ili wawekeze kwenye biashara nyingine ambazo zina faida zaidi,
- Kwa nini wanauza hisa zao sasa? Hapo ndipo pa kujiuliza, kwa nini hawakuuza hisa zao labda miaka miwili, mitatu au mitano iliyopita? Jibu ni kuwa hakuna mtu anayeuza mali yake ikiwa inamzalishia, hakuna mtu anayeuza ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita nyingi za maziwa. Ngo'ombe anauzwa akiwa amekwisha zeeka, au kama ni jike akiwa hana uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha...
Study wanahisa wakubwa, Miaka ya hivi karibuni mwanahisa mkubwa Bwana Rostam aliuza hisa zake zenye thamani ya karibia bilioni mia tatu? Je jiulize, kama kampuni inafanya vizuri, kwa nini wanahisa wakubwa wanauza hisa zao badala ya 'kununua' hisa zaidi? Jibu unalo mwenyewe.
Je unapo nunua hisa unanunua nini?
Kwa kampuni za simu kwa hali ya sasa, unaponunua hisa, UNANUNUA JINA TU.
Haya makampuni makubwa ya simu kama Vodacom, Tigo nk walishauza minara yao yote ya simu kwa kampuni ya Helios Towers Tanzania.
Hawana majengo ofisi zote wamepanga,
Magari yao wamekodisha kwa kampuni mbali mbali za usafirishaji,
kwa hiyo haya makampuni yanamiliki jina tu... Hayana assets za maana. Usidanganyike na majina makubwa ya makampuni haya...
Waulizeni wenzenu walionunua hisa za Precision Air wametengneza faida sh ngapi?
Kiufupi mtaponunua hisa ikala kwenu hakuna atakaye watetea, Sheria ya manunuzi inatoa angalizo kwa mnunuzi wa bidhaa yeyote kwa kusema, 'Buyer beware'!
Kampuni halisi ya simu kwa hivi sasa hapa Tanzania ni Helios Towers ambayo ndiyo inamiliki minara ya mawasiliano (Hawa wengine wamebaki kuwa madalali wa sekta ya mawasiliano)... Siku wakija kutibuka wakakataa kupangisha minara yao, ina maana haya makampuni mengine ya simu yatatoweka... Kinachoyaweka haya makampuni ya simu hapa nchini ni vibali vya mawasiliano walivyouziwa na TCRA. Cku TCRA nao wakigoma ku renew leseni zao za mawasiliano huo ndio utakuwa mwisho wa makampuni husika...
Vodacom sells towers to Helios in $75 million deal: report | TelecomEngine.com
Bharti Airtel to sell 1,350 towers in Tanzania to American Tower Corp
Tigo Tanzania Sells Tower Assets to Helios Towers
Kampuni zote kubwa zimelazimishwa isipokua za wazawa tu ndio watakua na hiari ya kuuza au kutokuuza hisa zao kwenye solo la DSEKama mnabisha kuwa hii si kazi ya lobby group, kwa nini sekta nyingine 'hazijalazimishwa' kuingia DSE? Kulikuwa na ulazima gani wa kampuni za simu kufanya ivyo? Mbona Helios wanaomiliki minara hawajalazimishwa kuingia DSE? Mbona Tanesco, IPTL and the like hawajaingizwa DSE?
Makampuni ya madini na simu yalitakiwa yawe yamejiorodhesha kwenye soko la hisa ila kutokana na serikali iliyopita kutofuatilia ndio maana hawakufanya hivyo .Serikali ya sasa ndio inataka kutekeleza hilo agizo.Ndivyo hivyo mkuu ukitaka mengi ya hisa tafuta madalali wata"speculatia" vzuri.Mkuu tusaidie wengine inakuwaje sasa hata wakiorodhesha DSE huku assets hawana Mimi nayenunua hisa nanunua kipi kama siyo jina kwa kauli ya mtoa madam!?
ACHA KUDANGANYA UMMA ...NIMESOMA HATA SIJAMALIZA HII HABARI YAKO NI YA MTU ASIEJUA LOLOTE KUHUSU HISA NA UENDESHAJI WA KAMPUNI ZA SIMU, SABABU YA KAMPUNI ZA SIMU KUUZA HISA IPO KISHERIA NA HAIKUWA INATEKELEZWA, SERIKALI IMEWABANA SASA WANAGAWA SHARES NA NI ONLY 25% NA KAMA SIO SERIKALI HAWAKUWA NA SHIDA NA KUUZA HISA. NWAYS NITARUDIJamani, msije kusema napiga porojo, mimi nina digrii kadhaa kwenye mambo ya biashara, nimetumia karibu miaka kumi kusomea mambo ya kibiashara, kwa hiyo ndio maana naona bora niwataadharishe nyie mnaotegemea kununua hisa kwenye makampuni haya ya simu...
Kwa nini mtu huuza hisa?
Kuna sababu kadhaa za kuuza hisa, moja ni kuongeza mtaji ili kukuza biashara,
- Mbili ni pale mtu anapotaka kujitoa kwenye biashara huuza hisa zake kwenye biashara husika,
- Tatu ni kukusanya fedha ili kuweza kulipia madeni iwapo kampuni ipo kwenye hali ngumu kiuchumi.
Kwa nini kampuni nyingi za simu wanauza hisa, na kwa nini wanauza sasa?
- The market is not growing or its not profitable kwa hiyo wanauza hisa ili wawekeze kwenye biashara nyingine ambazo zina faida zaidi,
- Kwa nini wanauza hisa zao sasa? Hapo ndipo pa kujiuliza, kwa nini hawakuuza hisa zao labda miaka miwili, mitatu au mitano iliyopita? Jibu ni kuwa hakuna mtu anayeuza mali yake ikiwa inamzalishia, hakuna mtu anayeuza ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita nyingi za maziwa. Ngo'ombe anauzwa akiwa amekwisha zeeka, au kama ni jike akiwa hana uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha...
Study wanahisa wakubwa, Miaka ya hivi karibuni mwanahisa mkubwa Bwana Rostam aliuza hisa zake zenye thamani ya karibia bilioni mia tatu? Je jiulize, kama kampuni inafanya vizuri, kwa nini wanahisa wakubwa wanauza hisa zao badala ya 'kununua' hisa zaidi? Jibu unalo mwenyewe.
Je unapo nunua hisa unanunua nini?
Kwa kampuni za simu kwa hali ya sasa, unaponunua hisa, UNANUNUA JINA TU.
Haya makampuni makubwa ya simu kama Vodacom, Tigo nk walishauza minara yao yote ya simu kwa kampuni ya Helios Towers Tanzania.
Hawana majengo ofisi zote wamepanga,
Magari yao wamekodisha kwa kampuni mbali mbali za usafirishaji,
kwa hiyo haya makampuni yanamiliki jina tu... Hayana assets za maana. Usidanganyike na majina makubwa ya makampuni haya...
Waulizeni wenzenu walionunua hisa za Precision Air wametengneza faida sh ngapi?
Kiufupi mtaponunua hisa ikala kwenu hakuna atakaye watetea, Sheria ya manunuzi inatoa angalizo kwa mnunuzi wa bidhaa yeyote kwa kusema, 'Buyer beware'!
Kampuni halisi ya simu kwa hivi sasa hapa Tanzania ni Helios Towers ambayo ndiyo inamiliki minara ya mawasiliano (Hawa wengine wamebaki kuwa madalali wa sekta ya mawasiliano)... Siku wakija kutibuka wakakataa kupangisha minara yao, ina maana haya makampuni mengine ya simu yatatoweka... Kinachoyaweka haya makampuni ya simu hapa nchini ni vibali vya mawasiliano walivyouziwa na TCRA. Cku TCRA nao wakigoma ku renew leseni zao za mawasiliano huo ndio utakuwa mwisho wa makampuni husika...
Vodacom sells towers to Helios in $75 million deal: report | TelecomEngine.com
Bharti Airtel to sell 1,350 towers in Tanzania to American Tower Corp
Tigo Tanzania Sells Tower Assets to Helios Towers