Hongera sana kwa elimu yako na kweli yametia. Hisa za vodacom mpaka leo kimyaWewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Asante mkuu!Hongera sana kwa elimu yako na kweli yametia. Hisa za vodacom mpaka leo kimya
Niliposoma tu andiko lako nikakubali. Watanzania ni wabishi sana na huwa hawataki kuambiwa. Wote waliokubishia wanaona aibu sasa. Ila statement yako ya mwisho ya ''Buyer beware'' imenifumbua macho sana. Huwa najiuliza kwann huwa hawashitakiwi? Lkn jibu nikalipata kwenye hayo maneno mawili. Laiti watanzania wangejua wasingenunua hisa vodacom. Hongera, andiko limetimia asiyesikia na asikie sasa. Nimesoma kuanzia page ya 1 mpaka ya mwisho. Watanzania ni wabishi sana.Asante mkuu!