Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,766
- 18,620
Waache wanaenda kujisaidia eneo lenye mamba
Waache wanaenda kujisaidia eneo lenye mamba
Angalia hapa nyumbu alivyo fanywa baada ya kupita sehemu akijua kabisa kuna mamba!akili za bavicha. wanashauriana kutenda jinai.
Huna hoja ya msingi rudi shuleIntelijensia inasemaje?
Imeshatoa kibali cha mkutano 23/7?
Hamna machafuko?
Mikutano ya kisiasa mpaka 2o20 isharuhusiwa?
akili za bavicha. wanashauriana kutenda jinai.
Mzee wangu wakati anafariki aliacha fixed account kwà ajili ya mambo ya ada, nitamaliza shahada ya kwanza, ya pili na nikitaka hata ya tatu bado pesa itatosha tuu... Namalizia mitihani ya mwisho wa semester. roho, akili na mwili viko tayari kabisa kwa safari ya dodoma mkuu!!!Umeshalipa ada ya Shule/Chuo?
Sidhani kama wewe ni MTU mzuri.Tukutane makamanda. Tunawasubilia Chako ni Chako.
Sidhani kama wewe ni MTU mzuri.
Mzee wangu wakati anafariki aliacha fixed account kwà ajili ya mambo ya ada, nitamaliza shahada ya kwanza, ya pili na nikitaka hata ya tatu bado pesa itatosha tuu... Namalizia mitihani ya mwisho wa semester. roho, akili na mwili viko tayari kabisa kwa safari ya dodoma mkuu!!!
Nashukuru kwa masahihisho, nasikia nyie waalimu wa lugha mnahitajika sana nchini na mnathaminiwa sana kwa kazi yenu tukufu nchini hapa!!!Basi jifunze hata kuandika vizuri kwanza ni Dodoma!
Hahaha hahaha hahaha kweli wewe hujipendi...Nimeshapaki begi langu. Naingojea safari.
Hahaha hahaha hahaha dah umenichekesha sana mkuuAkili za uvccm wanashauriana kuzungusha viuno