Tahadhari kuu

Tahadhari kuu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,931
Reaction score
828,586
1d7639606d53aeab1c726a5cbdff7fc1.jpg
 
Ukiona unaanza kuishi maisha ya hofu, ujue maisha yako yameshapoteza maana
STUNTER hizi picha nyingi za ngono zinazosambazwa mitandaoni na kudhalilisha sana watu na kuleta usumbufu mkubwa kwenye familia na wahusika si kila mtu alipigwa kwa ridhaa yake! Kwahiyo bado ni muhimu kuwa makini unapoingia hayo maeneo
 
nlivyo mpenda sifa nkishagundua kuna kamera naitumbulia jicho mixer kucheza ili wakome maana hakuna namna...
 
Katika jamii tunapaswa kujitahidi kwa gharama zote kuishi kwa amani bila wasiwasi na watu wanaotuzunguka.

Ikitokea unahisi kuna hivyo vitu, dunia inamajibu mengi ya jinsi ya kuving'amua.

1:Kama unasimu, unaweza kuipiga ukasogea maeneo ambayo unayahisi, na kama kuna kamera hasa yenye microphone kutakuwa na interference ya Electromagnetic fields na kusababisha intereference ya kwenye simu. Utagundua.

2:Kama hutaki kujichosha Amazon/Ebay utapata SPY CAMERA/MICROPHONE Detectors kwa bei rahisi tu.
a66f.jpg
upload_2016-7-22_6-32-58.jpeg

Haya yote hayasaidii kikubwa ni kuwa na amani na watu wote ikiwezekana. Ila kwa anayehisi anafuatiliwa na hivi vitu, Google inakupa millions of options
 
🙁Hoteli kubwa kubwa ndio wanaweka hizo kamera au hata vijiguest vya chapu chapu
 
Uswazi ni chabo
Ila sasa sijui tutafanyaje maana unaweza kwenda hotelini umechoka na kazi za kutwa nzima (hasa sie wengine kazi za field) sio rahisi kukumbuka kuchungulia bulb, mweeeee!
 
Ila sasa sijui tutafanyaje maana unaweza kwenda hotelini umechoka na kazi za kutwa nzima (hasa sie wengine kazi za field) sio rahisi kukumbuka kuchungulia bulb, mweeeee!
Ukiwa peke yako ama?
 
Ungejua tu hata kuwa na Email ya Google yani Gmail bado tunafuatiliwa we kitu kinakupa Location kabisa
 
Back
Top Bottom