Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
tobaa yahilah......nimekwisha mie.....uwiiiii.......
Hahaha pole sana!
Sasa tatizo sio handsome tu alikuwa ana drive gari binafsi nzuri na akampa lifti first day akampeleka hadi alipotaka wakabadilishana contacts. Siku ya ki date ndio ikawa balaa.
Chunga mamdogo :becky: