Tahadhari Ali Hassan Mwinyi Road

Tahadhari Ali Hassan Mwinyi Road

afebris

Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
96
Reaction score
105
Wakuu,

Hii barabara ya Ali Hassan Mwinyi hasa kuanzia mataa Morocco mpaka mjini kinatisha sana, gari zinakimbia mno hasa usiku mkubwa. Hapa zimepita subaru mbili halafu moja imezima taa kabisa zinafukuzana mbio, drag race kills.

Tahadhari muhimu.
 
Wakuu hii barabara ya Ali hassan mwinyi road hasa kuanzia mataa Morocco mpaka mjini kinatisha sana,gari zinakimbia mno hasa usiku mkubwa.Hapa zimepita subaru mbili halafu moja imezima taa kabisa zinafukuzana mbio.drag race kills.
tahadhari muhimu.
kweli mkuu.. huo mchezo upo sana hapa Dar!! na mshindi hupokea $10,000/- kwa kila roundi !!
 
Wakuu hii barabara ya Ali hassan mwinyi road hasa kuanzia mataa Morocco mpaka mjini kinatisha sana,gari zinakimbia mno hasa usiku mkubwa.Hapa zimepita subaru mbili halafu moja imezima taa kabisa zinafukuzana mbio.drag race kills.
tahadhari muhimu.
Kama wana-control nzuri it's so fun, sport cars ndio kazi yake iyo
 
Wakuu hii barabara ya Ali hassan mwinyi road hasa kuanzia mataa Morocco mpaka mjini kinatisha sana,gari zinakimbia mno hasa usiku mkubwa.Hapa zimepita subaru mbili halafu moja imezima taa kabisa zinafukuzana mbio.drag race kills.
tahadhari muhimu.

"Barabara ya Ali Hassan Mwinyi"
 
Last week walipata ajali mbaya sana nakufa hapo maeneo palm beach , jamani traffic mpo wapi ???, mnaruhusu upumbuvu huo, au kuna namna !!!!
 
Kwa mid-nights sio mbaya boss, risk ni ndogo
Usiku ndiyo mbaya sana. Unafikiri ni kwa nini madereva wengi hasa Dar wanaendesha kwa angalau adabu mchana, ni kwa sababu ya traffic police. Usiku hakuna Police, hata kwenye red light wanavuka tu, walevi, wahuni nk. Ni hatari sana, afadhali hata mchana speed ndogo kqa sababu ya foleni pia ni afadhali mchana ukipata ajali unaweza kupata msaada wa haraka kupelekwa Hospitali
 
Usiku ndiyo mbaya sana. Unafikiri ni kwa nini madereva wengi hasa Dar wanaendesha kwa angalau adabu mchana, ni kwa sababu ya traffic police. Usiku hakuna Police, hata kwenye red light wanavuka tu, walevi, wahuni nk. Ni hatari sana, afadhali hata mchana speed ndogo kqa sababu ya foleni pia ni afadhali mchana ukipata ajali unaweza kupata msaada wa haraka kupelekwa Hospitali
Halafu usiku ni hatari zaidi,ukipata ajali salender hesabu maumivu,wahuni watakuzingira fasta kabla ya msaada.
 
Dar ni hatari sana kuendesha usiku mwingi.sheria zoooote za barabarani zinawekwa mfukoni muda huo unatumia bongo na ujanja wa mjini.in fact ni hatari sana kufata sheria muda huo we fikiria umesimamisha kipasso chako kwene taa nyekund afu semi ndo inatokea nyuma yako inapitiliza
 
Kuna kitu ambacho wachache tumekiina na tunaamini kinachangia ajali pamoja na suala la ulevi,kasi ,na kutokuwa na uzoefu barabarani.serikali v taa za barabaran na ziwe zinafanya kazi.watafute namna waweke hata za umeme wa solar.barabara zetu zina giza sana na zinapunguza visibility labda uwe unakaa katikati ya barabara nyakati za usiku
 
Back
Top Bottom