Tahadhali: Wizi wa Mb Halotel

Tahadhali: Wizi wa Mb Halotel

mi ni mteja wao karibu miezi 5 ila kwangu hilo tatizo lina week moja nilkuwa nasikiaga kwa wengine,Its just a matter of time utakuja simulia au jaribu kuzima data hata usiku ukilala,amka asubuhi ucheki salio utagundua kitu kwa hao jamaa
Jaribu kuzima simu kabisa tuone
 
Du nilikuwa nawaamini sana nimelazimisha family mzima wamenunu ila kwasasa wamenifanya nianze kufanya research upya kwa ttcl kwenye details za ttcl zaukika atuambie ubaya huwaga na hondoka na family nzima
 
Weka elfu kumi alafu unga zote upate GB 10 utazitumia mpa mwezi unaisha utashangaa umetumia GB 6 au 7
 
Huu wizi wa Haloteza ni kweli kabisa,mm mwenyewe siku ya kwanza nimejiunga na kifurushi cha 10 GB baada ya siku 2 eti kimeisha hata sijadownload hata movie moja nikahisi kuna tatizo.
 
Siku si nyingi nafikiria kuwakimbia nimegundua hilo jambo nilikuwa nataka uhakika tu.
 
Mi wiki nzima napigwa tu nikajua ni mm tu.....mb 2500 inakatika kwa SAA moja tu kuperuzi tu.....
 
Nilijiunga tarehe 18/03/2017 kifurushi cha mwezi cha GB 10, lakini leo asubuhi nakuta msg kuwa sina MB za kutumia, nimewapigia wananipga sound tu. TCRA sikilizen malalamiko haya.
 
Hakuna mtandao majizi na Matapeli wa MB kama Voda
Mi sijajua tatizo hasa ni nini kwa hawa Vodacom.Maana unajiunga na bando zao ziwe za MB ama za muda wa maongezi zinakatika utafikiri sijui kitu gani .Wajirekebishe.TCRA washughulikie suala hili.
 
Back
Top Bottom